Camera Man
Member
- Jan 25, 2025
- 7
- 3
Wadau nilikuwa naomba kazi nina kipaji cha upigaji picha na kushoot video lakini pia ninajua graphic designer
Lakini pia nanvyo vifaa vyangu mwenyewe tayari kwa kazi Nina camera, na vifaa vyengine vya kupiga picha na kushoot video na pia nina vifaa vya kuedit picha na video pamoja na graphic designer yani Computer n.k yani nipo full kwa kazi mda wowote saa yoyote.
Kama kuna kampuni inahitaji mpiga picha na mchukua video ikiwemo na graphic designer kwenye kazi mbalimbali za kampuni kadri itakavyo itajika naweza kufanya kwa uaminifu na nidhamu ya hali ya juu msaada tafadhali wa kazi.
Umri: 24 years
jinsia: wakiume
makazi: Dar es Salaam,
mawasiliano: 0653498435
Lakini pia nanvyo vifaa vyangu mwenyewe tayari kwa kazi Nina camera, na vifaa vyengine vya kupiga picha na kushoot video na pia nina vifaa vya kuedit picha na video pamoja na graphic designer yani Computer n.k yani nipo full kwa kazi mda wowote saa yoyote.
Kama kuna kampuni inahitaji mpiga picha na mchukua video ikiwemo na graphic designer kwenye kazi mbalimbali za kampuni kadri itakavyo itajika naweza kufanya kwa uaminifu na nidhamu ya hali ya juu msaada tafadhali wa kazi.
Umri: 24 years
jinsia: wakiume
makazi: Dar es Salaam,
mawasiliano: 0653498435