Wadau nipeni elimu kuhusu Tv Box

Wadau nipeni elimu kuhusu Tv Box

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Nina tv ambayo sio smart. Sasa kuna jamaa amenishawishi ninunue tv box ili niweze kupata access ya kustream movie na mechi kwa kupitia tv box kwenye tv yangu.

Je ubora wa hizo tv box upoje?
Vp kuhusu matumizi ya bando? Inakula sana bando au kawaida?
Hivi kwa hizi internet zetu naweza kucheki mechi bila mkwamo kwa kutumia hizo tv box?

Karibuni mnipe somo...
 
Tv box ni devices ambazo zina operating system mfano android tv box.

Maana yake ukiinganisha na tv yako apps zote za simu utaweza kutumia kwa kutumia tv ni kama tv inakuwa smart tv.

Ulaji wa bando inategemea na resolution ya video unayostream mfano video unayostream ina 720p au 1080p hapo lazima bando litumike jingi.

Ila kuna site tena nadhani ni nyingi resolution ni ndogo na MB 500 unaweza angalia mechi moja na zingine zikabaki mfano feed2all.eu

Kuhusu kustream bila kukwama inategemea na network ya mtandao unaotumia lakini pia servers za hiyo online tv.

Mimi binafsi huwa nastream vizuri kwa komputer na kukwama ni mara chache sana ila mtandao unaotumia kama uko slow hapo ulipo hutostream vizuri.

Wakati mwingine server za online streaming inazidiwa hasa kipindi cha mechi kubwa ila kwangu ni mara chache lakini pia nakumbuka Chief-Mkwawa aliwahi weka thread jinsi ya kustream kwa kutumia torrent.
 
Naomba kujua bei ya Tv Box
Android TV Box zenye specification ndogo kama MXQ Pro unaweza kupata kwa 70,000 ingia jumia utaona, lakini aliexpress zipo zinauzwa $19 hadi $30 so unaweza agiza mwenyewe. Kuna watu humu pia wanauza ila bei zao naona ni kubwa kuliko quality ya hiyo tv box.
 
Android TV Box zenye specification ndogo kama MXQ Pro unaweza kupata kwa 70,000 ingia jumia utaona, lakini aliexpress zipo zinauzwa $19 hadi $30 so unaweza agiza mwenyewe. Kuna watu humu pia wanauza ila bei zao naona ni kubwa kuliko quality ya hiyo tv box.
Asante mkuu
 
Nina tv ambayo sio smart. Sasa kuna jamaa amenishawishi ninunue tv box ili niweze kupata access ya kustream movie na mechi kwa kupitia tv box kwenye tv yangu.

Je ubora wa hizo tv box upoje?
Ubora upo tofauti tofauti tegemea na budget yako zipo za bei rahisi zenye specs ndogo chini ya laki 1 na zipo hadi za laki 5 na kuendelea zinazocheza games na kufanya vitu vya kisasa zaidi.
Vp kuhusu matumizi ya bando? Inakula sana bando au kawaida
Ulaji wa bando hauhusiani na kifaa unachotumia bali quality ya hio stream. Unaweza ukaangalia mechi kwa 240p kwenye tv box yako na isilie bando na mwengine akaangalia mechi kwa 720p kwenye simu bundle ikaenda sana.

Mfano ukieka mobdro kwenye tv box yako bundle haitaenda nyingi.

Hivi kwa hizi internet zetu naweza kucheki mechi bila mkwamo kwa kutumia hizo tv box?

Karibuni mnipe somo...
Ndio inawezekana kuangalia mechi bila mkwamo kwa kutumia mitandao ya 4g ama 3g yenye speed kubwa ila kupata kifurushi kizuri ndio mtihani. Kipo bandika bandua cha TTCL ila wenyewe wanaringa nacho sana mara kibao kinakataa kuunga mpaka uwapigie customer care.
 
Ubora upo tofauti tofauti tegemea na budget yako zipo za bei rahisi zenye specs ndogo chini ya laki 1 na zipo hadi za laki 5 na kuendelea zinazocheza games na kufanya vitu vya kisasa zaidi.

Ulaji wa bando hauhusiani na kifaa unachotumia bali quality ya hio stream. Unaweza ukaangalia mechi kwa 240p kwenye tv box yako na isilie bando na mwengine akaangalia mechi kwa 720p kwenye simu bundle ikaenda sana.

Mfano ukieka mobdro kwenye tv box yako bundle haitaenda nyingi.


Ndio inawezekana kuangalia mechi bila mkwamo kwa kutumia mitandao ya 4g ama 3g yenye speed kubwa ila kupata kifurushi kizuri ndio mtihani. Kipo bandika bandua cha TTCL ila wenyewe wanaringa nacho sana mara kibao kinakataa kuunga mpaka uwapigie customer care.
Asante kwa ufafanuzi murua
 
Mkuu tuwekeee bei za tv boksi za bei rahisi tujue tunafanyaje tuishi vizuri
Ubora upo tofauti tofauti tegemea na budget yako zipo za bei rahisi zenye specs ndogo chini ya laki 1 na zipo hadi za laki 5 na kuendelea zinazocheza games na kufanya vitu vya kisasa zaidi.

Ulaji wa bando hauhusiani na kifaa unachotumia bali quality ya hio stream. Unaweza ukaangalia mechi kwa 240p kwenye tv box yako na isilie bando na mwengine akaangalia mechi kwa 720p kwenye simu bundle ikaenda sana.

Mfano ukieka mobdro kwenye tv box yako bundle haitaenda nyingi.


Ndio inawezekana kuangalia mechi bila mkwamo kwa kutumia mitandao ya 4g ama 3g yenye speed kubwa ila kupata kifurushi kizuri ndio mtihani. Kipo bandika bandua cha TTCL ila wenyewe wanaringa nacho sana mara kibao kinakataa kuunga mpaka uwapigie customer care.
 
Ok AliExpress siwez pat's manake nishajisajili kufanya manunuzi ya online
Vitu vya kimarekani vinapatikana rahisi zaidi marekani na vitu vya kichina Ni rahisi zaidi China.

Kama unanunua AliExpress tafuta box nzuri za China Kama ya xiaomi, sema kuwa makini unahitaji box lenye Android TV na sio miui Wala software nyengine. La xiaomi Bei Ni kubwa kidogo dola 60 hivyo andaa Kama 150,000.


Kama unaamua kuchagua la Bei rahisi zaidi hakikisha minimum processor yake Ni amlogic 905
 
Naombeni msaada.
Hii Ni port ya Mac apple all in one desktop
Nahitaji TV box inayofit hapa kwenda kwenye king'amuzi
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2019-10-12 at 11.11.46.jpeg
    WhatsApp Image 2019-10-12 at 11.11.46.jpeg
    12.1 KB · Views: 14
[QUOTE="Chief-Mkwawa, msaada wa hiyo case ya apple pc


[QUOTE="miki123, msaada wa hiyo case ya apple pc
 
Naombeni msaada.
Hii Ni port ya Mac apple all in one desktop
Nahitaji TV box inayofit hapa kwenda kwenye king'amuzi
Sifahamu mac ila most of times port za computer si kwa ajili ya input bali ni output kwenda kwenye vitu kama monitor. Tv box nyingi za vingamuzi zinatumia usb adapter.

Hio port hapo ni mini dvi, hivyo unaweza kui convert kwenda common port kama hdmi ama vga ama port yoyote common unayotaka wewe,
300px-Kobushi-mini-dvi.jpg

CHEKI mtaa wa uhuru na msimbazi kkoo ama machinga complex ndio vitu kama hivi unapata kirahisi.
 
Sifahamu mac ila most of times port za computer si kwa ajili ya input bali ni output kwenda kwenye vitu kama monitor. Tv box nyingi za vingamuzi zinatumia usb adapter.

Hio port hapo ni mini dvi, hivyo unaweza kui convert kwenda common port kama hdmi ama vga ama port yoyote common unayotaka wewe,
300px-Kobushi-mini-dvi.jpg

CHEKI mtaa wa uhuru na msimbazi kkoo ama machinga complex ndio vitu kama hivi unapata kirahisi.
shukran sana
 
Back
Top Bottom