Wadau nisaidieni Mimi sina imani na bunge la katiba je litaleta katiba tuitakayo?

Wadau nisaidieni Mimi sina imani na bunge la katiba je litaleta katiba tuitakayo?

Mimi kama wewe;

Naona kama ni "genge la watafuta posho" tu walio tayari kupigia debe jambo lolote hata wasilofahamu matokeao yake kwa taifa mradi ti "posho" ziingie kwenye account zao.
 
Rais hakumaanisha wananchi wapate katiba bora. Ndiyo maana hata ukiangalia uteuzi wake unaona kuna hila ndani mwake. Unaomwona Kingunge na wengineo wakiingia tokea kwenye NGOs. Imani yangu nikwamba kama ameweka hila basi huwezi pata good results.
 
Mchambuzi SAHIHI wa masuala ya SIASA hawezi kuwa na IMANI na Bunge la sasa la KATIBA kutokana na UKWELI kuwa BUNGE hilo HALITOKANI NA WANANCHI.
 
Issue ni posho tu wajameni na kujadili kanuni!!! Sasa wasome na wachangie si kwenda kula kuku na vicheche!!!!
 
Back
Top Bottom