jamani habari za leo. kuna kitu kinanichanganya naomba mnisaidie. hivi kwa mwanamke ni upi wakati ambao ni muafaka kwa kupata ujauzito? je siku kadhaa kabla ya kuwa kwenye siku zake yani mp au ni siku kadhaa baada ya kutoka kwenye hicho kipindi cha mp? na dalili za kuonyesha mwanamke yupo tayari kupata ujauzito ni zipi?