Wadau tuambiane hapa simu gani nzuri inauzwa kwa bei ndogo

Wadau tuambiane hapa simu gani nzuri inauzwa kwa bei ndogo

tutusi27

New Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
2
Reaction score
0
Unaweza ukanunia simu ya bei ndefu bado usifurahie vizuri na mwingine akanunua simu ya bei rahisi akapata vingi, we kama mdau unadhani kipi cha muhimu kwenye simu kulingana na mahitajio kama kasi ya mtandao,kamera,memory,housing nk.?
 

Attachments

  • 20241126_155649.jpg
    20241126_155649.jpg
    22.5 KB · Views: 7
Back
Top Bottom