wadau tulifanyie utafiti kombe la kagame

Wakimataifa1

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
326
Reaction score
100
kuna habari zisizo rasmi mashindano ya kombe la africa mashariki liloisha hivi karibu kuwa eti azamfc ilitoa mchango wa siri kwa musonye na tff shs milioni 300 ipate upendeleo wa kuchukua ubingwa je ni kweli mm naona azam alishinda kwa uwezo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…