Wadau Tuliosoma Internationa School of Tanganyika,Tukio gani huwezi kuja lisahau Maishani?

Wadau Tuliosoma Internationa School of Tanganyika,Tukio gani huwezi kuja lisahau Maishani?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Screenshot_2022-09-28-10-56-35-669_com.whatsapp~2.jpg


Mi nakumbuka siku ile tumeenda canteen kwenye buffet sausage zikawa zimeisha. Wamebaki wanafunzi wawili hawajapata sausage na yule msimamizi wa chakula Mr. Shivj Hindurana anawashawishi wachukue cake. Wakagoma na kuanza kulia kuwa wamenyanyaswa.

Wadau Tuliosoma Internationa School of Tanganyika tupo?
 
Vip mliendelea kusoma International University?

Vip kazi nazo mliendelea kupata na kufanya international Organization au mmeshajiari na sasa ni Ma CEO kwenye kampuni zenu?
 
Vip mliendelea kusoma International University?
Vip kazi nazo mliendelea kupata na kufanya international Organization au mmeshajiari na sasa ni Ma CEO kwenye kampuni zenu?
Maisha hayako hivyo uwa tunapishana mara nyingi watoto wa Masaki wanakuja kupanga Kinondoni na wa uswahilini wanaenda kuishi Masaki. Wakishua wanakuja kuajiriwa na wale waliosoma uswazi na wauswazi wanawaajiri wakishua.

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Ada ya mwaka ni mshahara wa mwalimu miaka kumi, dah haya bwan, dah
 
View attachment 2370467

Mi nakumbuka siku ile tumeenda canteen kwenye buffet sausage zikawa zimeisha. Wamebaki wanafunzi wawili hawajapata sausage na yule msimamizi wa chakula Mr. Shivj Hindurana anawashawishi wachukue cake. Wakagoma na kuanza kulia kuwa wamenyanyaswa.

Wadau Tuliosoma Internationa School of Tanganyika tupo?

Dah umenikumbusha mbali sana. Nimemaliza 2010 high school
 
Back
Top Bottom