Wadau tuweni serious ili tuweze kusaidiana naamini wote tuna shida ila zitofautiana kwa degree flani

Wadau tuweni serious ili tuweze kusaidiana naamini wote tuna shida ila zitofautiana kwa degree flani

mabumbe

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
298
Reaction score
40
Heshima zenu wakuu,,,
Mimi nimeomba mkopo wa 3ML nikiwa serious na nia dhati kabisa (bado nauhitaji lakn), Pia nkasema kwa yeyote anayehitaji machine ya aina yeyote ile anitafute lakn watu hawako serious wananijoke, wanidharau, wananikatisha tamaa na wngine hadi matusi kabsa,,, kwa nin hivi lakn???Naamin M2 anayeingia JF ni Mwenye upeo, Uelewa na Elimu,, Jaman tuwen serious wadau tukiitumia vizuri JF itatukomboa,, Wadau mimi kwenye Machine natafuta wateja na kuwapeleka ofisi husika,,, sasa tatizo liko wapi??? kipato changu bado hakitoshelezi ndo mana naomba mkopo kwa walala hoi wezangu wenye uwezo kiasi...
 
Mkuu humu jf kunawatu wengi na kumbuka kila mtu analake kunamafisadi, kunawalioshiba mpaka wanatapika na kunawenye njaa usikate tamaa na hao waliovimbiwa kumbuka wenye kuhitaji pia tupo.
 
Labda kwa suala la mashine ni kwa vile hujaeleza mashine gani unayotafutia wateja!
 
Labda kwa suala la mashine ni kwa vile hujaeleza mashine gani unayotafutia wateja!

Nimesema machine ya aina yeyote ile,,,, machine kubwa na za kati haziuzwi dukan zinatengenezwa kwa order,,
 
Post ya mwanzo umeelezea vizuri sana !!! Ila kumbe ndo wewe unasema mashine tu halafu husemi mashine gani????
Matusi hapo hayakwepeki!!!! Labda ufunguke zaidi!!!
 
Pole mwaya. Mie nilisema unipe namba ya MPesa unasisitizia nikuone kwanza. Unamjua PAW? Ana wivu kama nyoka, ataniua akisikia hii habari.
 
Nimesema machine ya aina yeyote ile,,,, machine kubwa na za kati haziuzwi dukan zinatengenezwa kwa order,,
duh, ndugu inabidi utoe maelezo ya kina kama unahitaji ushirikiano wa kweli usilaumu tu watu! mashine ziko nyingi sana za matumizi tofauti tofauti, kuwa muwazi toa maelezo yaliyokamilika
 
We unauza mashine yeyote kweli? Be specific bwana,unaweka mshine then hauweki bei tukueleweje sasa? It seems ur not serious!
 
We unauza mashine yeyote kweli? Be specific bwana,unaweka mshine then hauweki bei tukueleweje sasa? It seems ur not serious!

mkuu machine siku hizi zinauzwa kulingana na mahitaji ya mteja so nina uhakika machine ya aina yeyote ile utaipata ukinitumia mim,,
 
mkuu machine siku hizi zinauzwa kulingana na mahitaji ya mteja so nina uhakika machine ya aina yeyote ile utaipata ukinitumia mim,,

Mimi nataka mashine ya kuchimbia kisima cha gas Mtwara. Niko serious.
 
Kaka,
Kuna aina nyingi za mashine, from imported to home made.

Logically haiwezekani uwe Na uwezo wa kupata aina zote za mashine. Labda useme kua wewe ni Dalali so utakua unaweka cha juu!!

Na kwa uhakika kwa mtu mwenye uwezo wa kupata kila aina ya mashine duniani akose Tshs 3Mil kweli???!!!

Ndio maana watu wanakukejeli kwa kukuona mwongo kaka!!
 
Mkuu kama umetoa offer ya kusaidia wadau kupata mashine basi uko juu saaaaaana. Hili ni tatizo sana Tanzania kupata mashine fulani.
tafadhali nipatie taarifa jinsi ya kupata mashine ya kutengeneza juice ya miwa inayotumia umeme.
Asante sana...
 
Kaka,
Kuna aina nyingi za mashine, from imported to home made.

Logically haiwezekani uwe Na uwezo wa kupata aina zote za mashine. Labda useme kua wewe ni Dalali so utakua unaweka cha juu!!

Na kwa uhakika kwa mtu mwenye uwezo wa kupata kila aina ya mashine duniani akose Tshs 3Mil kweli???!!!

Ndio maana watu wanakukejeli kwa kukuona mwongo kaka!!

hebu msome tena. Maelezo yake yapo clear kabisa.
 
Mabumbe usigive up, ipo siku watahitaji machines zozote ndio watakumbuka uwepo wako.
 
Back
Top Bottom