Thanks bro🙏I wish you all the best bro.
Point thanks kwa Sasa nimesharecover in a such way siwez jiumiza tena, ila jamani hakuna kitu kibaya Dunian Kama kuachwa utataman aliekuacha bora Mungu angemchukua ungejua umempoteza kwa staili hiyo ambayo huna namna yoyote ya kuwa nae utakumbuka utajiliwaza bas utakuwa na nguv haraka ya kutafut hata mwingine lakin kuachwa na mtu halafu bado mawasiliano yanakuwepo mpaka ukaze moyo Sana halafu point kubwa Sana ni kuhama kwenye eneo husika. Mm nilipokuwa eneo husika kila unachokiona unamkumbuka mwenzio, mlivyokuwa mnacheka, akipokuwa anakaa mpaka mlivyokuwa mnalala, leo unalala pekeyako.Dont jump kwenye relationship moya kabla huja recover. Utaenda umiza mtoto wa watu plus utaingia ukiwa na expectation kuwa atamzidi yule ukizikosa upendo unaisha.
Hama hapo ulipo, ondoka nenda sehem ambayo unajua huto kutana nae. jichanganye na jamii ya tofauti hayo maumivu yataisha.
Usibembeleze mtu alie kuacha, analuona huna option zaidi yake,dharau zinazidi kuongezeka
Stay strong brother.Point thanks kwa Sasa nimesharecover in a such way siwez jiumiza tena, ila jamani hakuna kitu kibaya Dunian Kama kuachwa utataman aliekuacha bora Mungu angemchukua ungejua umempoteza kwa staili hiyo ambayo huna namna yoyote ya kuwa nae utakumbuka utajiliwaza bas utakuwa na nguv haraka ya kutafut hata mwingine lakin kuachwa na mtu halafu bado mawasiliano yanakuwepo mpaka ukaze moyo Sana halafu point kubwa Sana ni kuhama kwenye eneo husika. Mm nilipokuwa eneo husika kila unachokiona unamkumbuka mwenzio, mlivyokuwa mnacheka, akipokuwa anakaa mpaka mlivyokuwa mnalala, leo unalala pekeyako.