Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
Nimewasikia watekelezaji wa mtaala (walimu) na wanafunzi kupitia wazazi wanasema mada zinazofundishwa darasa la tatu zinawadi umri mfano
Kwenye somo la hisabati,jometri iliyokuwa inafundishwa darasa la tano sasa ipo darasa la tatu,Jiografia na mazingira,Sura ya nchi iliyokuwa inafundishwa darasa la sita sasa ipo darasa la tatu, wengine wanadai maudhui ambayo yanafundishwa kidato cha kwanza somo la sayansi(physics,chemestiry na Biology) Sasa wanafundishwa darasa la tatu,siyo hiyo tu mpaka maana ya katiba anaanza kufundishwa darasa la tatu
Je katika kuandaa contents serikali imezingatia umri na uelewa wa mtoto ?
Kwenye somo la hisabati,jometri iliyokuwa inafundishwa darasa la tano sasa ipo darasa la tatu,Jiografia na mazingira,Sura ya nchi iliyokuwa inafundishwa darasa la sita sasa ipo darasa la tatu, wengine wanadai maudhui ambayo yanafundishwa kidato cha kwanza somo la sayansi(physics,chemestiry na Biology) Sasa wanafundishwa darasa la tatu,siyo hiyo tu mpaka maana ya katiba anaanza kufundishwa darasa la tatu
Je katika kuandaa contents serikali imezingatia umri na uelewa wa mtoto ?