Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
Hii inaumiza Sana watoto bado ubongo wao haujakuwa kuweza kubeba vitu vikubwa kichwan mwa Mtoto wa miaka 7,8,9. Hawaelewi chochote ni mzigo Sana kwao. Watoto wengi wa shule za kidumu na mfagio unakuta hata kkk hawajui. Hayo masomo wanayajulia wapi?Nimewasikia watekelezaji wa mtaala (walimu) na wanafunzi kupitia wazazi wanasema mada zinazofundishwa darasa la tatu zinawadi umri mfano
Kwenye somo la hisabati,jometri iliyokuwa inafundishwa darasa la tano sasa ipo darasa la tatu,Jiografia na mazingira,Sura ya nchi iliyokuwa inafundishwa darasa la sita sasa ipo darasa la tatu, wengine wanadai maudhui ambayo yanafundishwa kidato cha kwanza somo la sayansi(physics,chemestiry na Biology) Sasa wanafundishwa darasa la tatu,siyo hiyo tu mpaka maana ya katiba anaanza kufundishwa darasa la tatu
Je katika kuandaa contents serikali imezingatia umri na uelewa wa mtoto ?
Tuna viongozi wajinga Sana Tena Hawa wa ccm. Ni janga la taifa Kwa kweliMbona kenya hayo mambo ndo wanafundishwa wakiwa darasa la tatu dunia imebadilika mzee vitu vya darasa la tatu unataka ufundishwe form two
HatariDarasa la tatu poor gets poorer and rich gets richerView attachment 2940977View attachment 2940976
sio kidogoHatari
Kwamba mtoto wa darasa la tatu unamfundisha what is matter? Ataelewa kweliMbona kenya hayo mambo ndo wanafundishwa wakiwa darasa la tatu dunia imebadilika mzee vitu vya darasa la tatu unataka ufundishwe form two
Mbona nyimbo za matusi wanazielewa?Kwamba mtoto wa darasa la tatu unamfundisha what is matter? Ataelewa kweli