Wadau wa elimu mkoa wa pwani,morogoro,singida na mwanza

Richardbr

Senior Member
Joined
May 29, 2011
Posts
110
Reaction score
25
Wadau wa elimu popote mlipo nipo katika mchakato wa kutafuta shule kwajili ya kidato cha 5 na cha 6 kwa mwaka 2012,kutokana ufinyu wa fedha ninatafuta shule yenye gharama nafuu popote pale katika mikoa niliyotaja (private school)day and boarding school.

Hivyo kama wewe ni mkuu wa chuo ama unaufahamu wowte kuhusu hili tafadhali nifahamishe bila utani wowote.

Vilevile kwa atakaye kuwa na details zozote kuhusu shule yenye gharama nafuu kwa O level piaanisaidie.

Aksanteni.
 
Pwani-marian girls secondary school,morogoro kuna msolla sec,singda cjui.
 
Jaribu shule moja ya Mzungu pekupeku au inaitwa Alfa Games ipo cheap sana kuna O and A level ipo Morogoro town mkuu
 
Singida Jaribu Pallott girls sec. school

St.Carolus
 
Nawashukuru sana wadau kwa support yenu,endeleeni kunipatia more details kama zipo
 
Jaribu shule moja ya Mzungu pekupeku au inaitwa Alfa Games ipo cheap sana kuna O and A level ipo Morogoro town mkuu

Alfa ni nzuri ila kupata nafasi ndo yake ndo shughuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…