Wadau wa elimu naombeni msaada katika civil engineering.

NingaR

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2012
Posts
2,759
Reaction score
591
Nimemaliza kidato cha 6 mwaka huu nikichukua mchepuo wa pgm na kupata div iii-13 yaani physics-e, mathematics-d, geography-d na gs-s, pia o-level chemistry sikuifanyia mtihani kutokana na sababu zilizo kua nje ya uwezo wangu lakini niliisoma kama masomo mengine, sasa nataka kusomea civil engineering chuoni tatizo linakuja katika vyuo vingi hapa nchini wanataka o-level angalau niwe na c ya chemistry lakini chuo cha St. Joseph wanataka any two principals in physics, mathematics na chemistry, nimejaribu kuwatumia email kuulizia kama naweza pata admission lakini bado hawajanijibu, Siolazima kusoma St. Joseph hata vyuo vingine pia itasaidia sana. Wadau wa elimu hapa jf naombeni mnipe mwangaza kwa hili nifanyaje ili niweze kutimiza ndoto zangu za kupunguza tatizo la miundombinu hapa nchini kwetu kwani ndio sababu kubwa ya mimi kutaka kusomea civil engineering, akhsanteni na mungu awabariki na kuwaongoza
 
Wewe NingaR kila siku unaomba msaada wa PGM na umeshajibiwa mara kibao unaweza kusoma Civil Engineering lakini sijui una wasiwasi gani.Jaribu kuapply kwenye vyuo vyenye masharti ambayo hayahitaji chemistry o-level
 
Wewe NingaR kila siku unaomba msaada wa PGM na umeshajibiwa mara kibao unaweza kusoma Civil Engineering lakini sijui una wasiwasi gani.Jaribu kuapply kwenye vyuo vyenye masharti ambayo hayahitaji chemistry o-level

kwanza nahc haamini kama amefaulu!
 
Wewe NingaR kila siku unaomba msaada wa PGM na umeshajibiwa mara kibao unaweza kusoma Civil Engineering lakini sijui una wasiwasi gani.Jaribu kuapply kwenye vyuo vyenye masharti ambayo hayahitaji chemistry o-level
Mkuu nahitaji kuwa na uhakika zaid.

Jaribu ku-apply vyuo vingine pia.

SAWA MKUU NTAFANYA HIVYO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…