King Kimwe
Senior Member
- Jan 26, 2013
- 130
- 30
Habari za saa hizi wanajamii...
wiki iliyopita nilikua mkoani singida katika harakati zangu za kusaka mkate wa kila siku lakini safari haikuishia singida mjini kwani ilinilazimu kwenda katika wilaya moja wapo ya mkoa huo inaitwa ITIGI...
Hapo nilikutana na dada mmoja akiwa na watoto wawili mmoja anamiaka ka mitano ama minne hv na wapili ni mdg zaid aweza kua na miez nane hv ama mwaka mmoja...
Yule dada alikua mbele yangu nafikiri alikua anakwenda hospital grafla alikutana na wanafunzi ambao walikua wamevalia ngua za manesi bila shaka wanasomea utabibu hapo itigi waliongea kisha wakaachana wakaendelea na safari mimi nikawa nimemfikia yule nlipomuangalia vizuri nikagundua alikua akilia kwa kwikwi..
Nikamsemesha "dada vp mtoto kazidiwa.. Akanijibu hapana, ikabidi nimdadisi ndipo akanisimulia...
Anaitwa TAUSI KHAMIS KASUKA alimaliza elimu ya secondary mwaka 2005 Itigi secondary na kufaulu kwa division four poit 28 lakini kila akijaribu kufatilia cheti chake ili angalau ajiunge na chuo anazunguushwa tu na mkuu wa shule yan dhairi cheti chake kumeuzwa kwa mtu mwingime na kinatumiwa ''ebu fikiria kaka toka 2005 naambiwa cheti bado hakijaletwa na baraza kweli inaingia akilini na kilichoniuma ni kuwaona awa wadogo zangu nliowaacha shule wanasoma unes mi ninawatoto wawili sina mbele wala nyuma jamanni..."
Aya ndungu zangu yoyote mwenye uwezo wa kumsaidia dada apate cheti chake na mkuu kuchukuliwa hatua nita mp no ya dada..
aksanteni
wiki iliyopita nilikua mkoani singida katika harakati zangu za kusaka mkate wa kila siku lakini safari haikuishia singida mjini kwani ilinilazimu kwenda katika wilaya moja wapo ya mkoa huo inaitwa ITIGI...
Hapo nilikutana na dada mmoja akiwa na watoto wawili mmoja anamiaka ka mitano ama minne hv na wapili ni mdg zaid aweza kua na miez nane hv ama mwaka mmoja...
Yule dada alikua mbele yangu nafikiri alikua anakwenda hospital grafla alikutana na wanafunzi ambao walikua wamevalia ngua za manesi bila shaka wanasomea utabibu hapo itigi waliongea kisha wakaachana wakaendelea na safari mimi nikawa nimemfikia yule nlipomuangalia vizuri nikagundua alikua akilia kwa kwikwi..
Nikamsemesha "dada vp mtoto kazidiwa.. Akanijibu hapana, ikabidi nimdadisi ndipo akanisimulia...
Anaitwa TAUSI KHAMIS KASUKA alimaliza elimu ya secondary mwaka 2005 Itigi secondary na kufaulu kwa division four poit 28 lakini kila akijaribu kufatilia cheti chake ili angalau ajiunge na chuo anazunguushwa tu na mkuu wa shule yan dhairi cheti chake kumeuzwa kwa mtu mwingime na kinatumiwa ''ebu fikiria kaka toka 2005 naambiwa cheti bado hakijaletwa na baraza kweli inaingia akilini na kilichoniuma ni kuwaona awa wadogo zangu nliowaacha shule wanasoma unes mi ninawatoto wawili sina mbele wala nyuma jamanni..."
Aya ndungu zangu yoyote mwenye uwezo wa kumsaidia dada apate cheti chake na mkuu kuchukuliwa hatua nita mp no ya dada..
aksanteni