Wadau wote na wapenda maendeleo (elimu ) nchini kwetu, tusisahaulishwe ubovu wa matokeo ya kidato cha nne 2012 nia issue iliyoibuliwa/sukwa ya ugaidi wa Lwakatare na mwenzake. Imekuwa ni kawaida sasa likitokea jambo zito kwa TZ linazushwa lingine ili kufunika lililozito zaidi. Tuendelee kujadilijadili kidogo hata kama tume imeundwa mijadala isiishe.ilikuwa ni kukumbusha tu.