Wadau wa Football: Hapa ni Goal au Sio Goal?

Wadau wa Football: Hapa ni Goal au Sio Goal?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Tumalize utata wadau
IMG_1783.jpeg
 
Hamna goli kwakuwa mstari unatakiwa uwe sambamba ya goal-post. Hivyo mstari ungekuwa sambamba na post basi mpira ungekuwa juu ya mstari.

Huo mstari haujachorwa kwa usahihi.
 
Huyo aliyechora huo mstari alikuwa amekunywa K-Vant bila shaka.

Kimsingi hilo ni goli. Maana mpira wote umevuka mstari wote. Ila lingekuwa siyo goli halali kama mstari ungechorwa kwa usahihi.
 
Sio goli

Mpira unatakiwa uvuke mstari na goal post
 
Ni goli maana hicho kiwanja kilifanyiwa ukaguzi na kukidhi viwango vyote
 
Back
Top Bottom