hamis77 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 13,628 Reaction score 20,992 Sep 12, 2013 #1 Wana UDSM mnisaidie hv INDUSTRIAL ENGINEERING iko poa ? Na ajira zake vp? Msaada wenu wakubwa!
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Sep 12, 2013 #2 Google utapata majibu yote. Ajira ni matokeo ya factors nyingi.
M Mambaenock JF-Expert Member Joined Aug 7, 2013 Posts 427 Reaction score 107 Sep 12, 2013 #3 Hiyo inahusika viwandani kama sijakosea
xir jyerphy JF-Expert Member Joined Jul 12, 2013 Posts 994 Reaction score 184 Sep 12, 2013 #4 Iko poa poa sana hiyo kitu...utatafutwa hata kabla hujagraduate
F fortunho Senior Member Joined Aug 15, 2012 Posts 137 Reaction score 53 Sep 12, 2013 #5 ni zuri mkubwa, wellcome kwenye kitivo cha wahandisi,,,,,,,,ila kaza man and everything is going to be okey,,,,waweza nibeba?....nipigie simu engineer mwezako nipo mwaka wa pili chemical and prcssn eng. 0719380994
ni zuri mkubwa, wellcome kwenye kitivo cha wahandisi,,,,,,,,ila kaza man and everything is going to be okey,,,,waweza nibeba?....nipigie simu engineer mwezako nipo mwaka wa pili chemical and prcssn eng. 0719380994