Wadau wa Kutengeneza na Kuuza Sabuni Tukutane Hapa

Wadau wa Kutengeneza na Kuuza Sabuni Tukutane Hapa

Druggist

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
439
Reaction score
528
Salaam Wana JF.
Uzi huu naomba wote wanaohusika na Kutengeneza Sabuni za aina zote,Kwa Kiwango kidogo,cha Kati na Kikubwa Tukutane Kupeana Maarifa,Taarifa,Ujuzi na uzoefu.Aidha wale wanaouza malighafi,vifungashio na hata Wauzaji wa jumla na reje reja ruksa pia.Kwa Wadau napenda tupeane uzoefu na Changamoto.Lengo tujifunze Kwa Nia ya kuboresha biashara hii ya Sabuni za Maji,za unga,za Miche NK.Pia wale wanaotengeneza na Kuuza mashine za Sàbuni karibuni.Nawatambua SIDO,wataalam kama Mtanga Polymachinery Katika Tasnia hii,bila kuwasahau TBS,TRA na Mamlaka zinginezo Katika Nchi.Najiandaa Kufunga Mashine ndogo Katika moja ya Mikoa punde.Naamini Kupitia hapa tutapata màarifa na Taarifa Zaidi.Mafuta yako na bei gani ulipo?
Sabuni zipo na bei gani ulipo?Karibuni
 
Nilianza kununua mashine kutoka SIDO ila sikufanikiwa kuanza uzalishaji ila Bado sija kata tamaa
Ni machine ya sabuni za vipande,kaka naomba tupeane ujizi zaidi pm iko wazi
 
MimiBinafsi Sekta ya Sabuni nipo katika nyanja ya Uuzaji Wa malighafi za sabuni jumla na reja reja, kama vile
LABSA
SAULPHONIC ACIDA
CAUSTIC SODA
SODA ASH
SLES
RANGI
MALIGHAFI ZA LOTION,
NA NYINGINEZ NYIINGII
KARIBUNI

0754763364
 
Nipo kwenye hii sekta ni biashara ambayo inahitaji mzunguko sana hasa ukitegemea soko la kkoo bei zao mkasi sana
 
Nashukuru Kwa Wote mliochangia.Ewe mwene Mashine kama hutojali leta terms Wadau tuikodishe ipige Kazi badala ikae idle.Usikalie Mgodi.Binafsi nilihudhuria Mafunzo ya SIDO na sitajuta,kuna options za kuanza mdogomdogo,pia kama uko na formula Unampa mwene Mashine anakutengenezea KW amakubaliano Kiasi cha sabuni unazotaka kisha unaingia Sokoni.Baada ya Muda utaweza Kuamua kama ununue Mashine au ufanye Contract manufacturing.
 
Salaam Wana JF.
Uzi huu naomba wote wanaohusika na Kutengeneza Sabuni za aina zote,Kwa Kiwango kidogo,cha Kati na Kikubwa Tukutane Kupeana Maarifa,Taarifa,Ujuzi na uzoefu.Aidha wale wanaouza malighafi,vifungashio na hata Wauzaji wa jumla na reje reja ruksa pia.Kwa Wadau napenda tupeane uzoefu na Changamoto.Lengo tujifunze Kwa Nia ya kuboresha biashara hii ya Sabuni za Maji,za unga,za Miche NK.Pia wale wanaotengeneza na Kuuza mashine za Sàbuni karibuni.Nawatambua SIDO,wataalam kama Mtanga Polymachinery Katika Tasnia hii,bila kuwasahau TBS,TRA na Mamlaka zinginezo Katika Nchi.Najiandaa Kufunga Mashine ndogo Katika moja ya Mikoa punde.Naamini Kupitia hapa tutapata màarifa na Taarifa Zaidi.Mafuta yako na bei gani ulipo?
Sabuni zipo na bei gani ulipo?Karibuni
Mim natamani kujua soko la hizi sabuni,lipo la uhakika kweli?
 
Back
Top Bottom