Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari Wakuu
Nimekua nikifatilia kuhusu hili jambo kwa karibu wiki sasa na nimeadhimia kujiunga kupitia bank ya Equity kesho,Lakini kiukweli moja ya vitu vilivyonitisha ni kuwa Posta zetu ni wezi sana wa mizigo inayoletwa.
JE HILI SWALA LINA UKWELI NDANI YAKE KWA ASILIMIA NGAPI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekua nikifatilia kuhusu hili jambo kwa karibu wiki sasa na nimeadhimia kujiunga kupitia bank ya Equity kesho,Lakini kiukweli moja ya vitu vilivyonitisha ni kuwa Posta zetu ni wezi sana wa mizigo inayoletwa.
JE HILI SWALA LINA UKWELI NDANI YAKE KWA ASILIMIA NGAPI?
Sent using Jamii Forums mobile app