dudupori
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 1,795
- 1,914
Mapishi ni ufundi unaokua kila kukicha ila wengi wetu tunachemsha hasa kwenye swala la kufanya msosi uwe na ladha murua na kapendeza...
Ningependa hasa nijue hivi viungo vinatumika kwenye vyakula gani na vitumike muda gani wkt wa mapishi kufanya chakula kiwe kitamu.
1. Ajina moto
2. Curry powder
3. Soy sauce
4. Tomato paste
5. Cumin seed
Nitaendelea kuleta vingine kwa kadri ya mahitaji, wadau mkuje mtupe darasa...
CC.. farkhina Mshana Jr Evelyn Salt espy FaizaFoxy culture gal Nyani Ngabu
Ningependa hasa nijue hivi viungo vinatumika kwenye vyakula gani na vitumike muda gani wkt wa mapishi kufanya chakula kiwe kitamu.
1. Ajina moto
2. Curry powder
3. Soy sauce
4. Tomato paste
5. Cumin seed
Nitaendelea kuleta vingine kwa kadri ya mahitaji, wadau mkuje mtupe darasa...
CC.. farkhina Mshana Jr Evelyn Salt espy FaizaFoxy culture gal Nyani Ngabu