Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Sasa subiri km atakaa na huo mkanda muda wote bila kuupoteza.

She is very over confident atajapigwa kwa surprise dem wa kawaida tu pale wwe.

Undertaker alikua very deadly but ilikua akichapika sometimes...
Bob hakuna demu yeyote kutoka RAW au SD live anaeweza kumpiga Ronda.... that way anaitwa the BADEST WOMAN ON THE PLANET
 
Nani alishinda da ilinipita
Gemu ilivurugika dizaini fulani hivi. Kwa hiyo Triple H ameungana na Shaun Michaels ili kupambana na Undertaker na mdogo wake Kane.

Wenyewe wanaita DX vs Two Brothers. Kwa hiyo Kuna pambano lingine ktk sura hii
 
Nimesikia Roman ameachia mkanda wake akatibie leukemia, kwamba amekuwa akiugua ugonjwa huo kwa zaidi ya miaka 11 sasa. Hizi habari zina ukweli wowote?
 
Kweli mieleka nimeifatilia hata mm nakiri fake ni nyingi sana. Pia kupanga mshindi yani hyo ndio too much.
 
Back to game za leo usiku, Roman ame rudisha universally Champion sasa ubabe ni Brock Lesnar na Brown strowman, Danny Ambrose kamsiliti Seith ila inaonekana kuna kisasi kibaya mwenye kumbumbuku aweke hapa au ni kipindi kile Seith alivyo wasiliti pia au?
 
Roman kaachia mkanda kwa sababu ya Leukemia....tutammiss sana the Big Dog
 
Mcntyre naona ataingizwa kwenye mechi ya brock na monster....then mcntrye atashinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…