Mkuu hujanizidi mimi aisee. Nmefurahi kinoma...nadhan Mc Mahon atakua amejifunza kituThe usos niliwaelewa sana kukataa kucheza ile match last Tuesday
Mkuu hujanizidi mimi aisee. Nmefurahi kinoma...nadhan Mc Mahon atakua amejifunza kitu
SCRIPT umemaliza mkuuMcmahon ajifunze nini wkt yeye na creative directors ndio wanapanga hizo script.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Mahon nmemchukia sana kamtesa sana bwana mkubwa....Mcmahon ajifunze nini wkt yeye na creative directors ndio wanapanga hizo script.
Sent using Jamii Forums mobile app
Becky hatashinda mkanda...ronday atabaki na mkanda wake....si umeona juzi wamempa mkanda the qeen...ili after mani waendeleze beef lao. Halafu pia becky yuko smackdown...so hawawezi kumpa.mkanda sababu itakuwa smackdown wana mikanda miwili ya wanawake na Raw hawana mkanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akishinda mkanda wa raw automatically anahamia raw, mkanda hauhami mtu ndio anahama.Becky hatashinda mkanda...ronday atabaki na mkanda wake....si umeona juzi wamempa mkanda the qeen...ili after mani waendeleze beef lao. Halafu pia becky yuko smackdown...so hawawezi kumpa.mkanda sababu itakuwa smackdown wana mikanda miwili ya wanawake na Raw hawana mkanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumapili![emoji4][emoji4][emoji4] View attachment 1060766
Ndoto yangu kubwa ni hilo dude lipigwe na hawa machalii wadogo wadogo!
Hata hvy wamesema kuwa atakayeshinda atabeba yoteAkishinda mkanda wa raw automatically anahamia raw, mkanda hauhami mtu ndio anahama.
Ukiwa na mikanda miwili ya pande zote utahudhulia pande zote.
Wrestlemania leo itaanza saa sita usiku kwa saa za huku Tanzania(preshow) ambapo main event itaanza saa nane ya UsikuView attachment 1064698