Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Ningekua na msura alio nao undertaker ningefurah sana...msura wa kuua tuu, hukenui, hupindshi macho wala kope haichez, msura wa siriaz, macho ya kunyofoa mtu mda wwt hivyo utani hakuna, mtu anakuja anamtunishia misuli anamwangalia tu, G kajikaza kweli ila undertaker anamwangilia tu..
Kungekua na dawa ya kunywa urud nyuma miaka kadhaa fln, undertaker na shawn michael wangetakiwa kunywa ili waendeleee kupiga kaz!!! Bas tuu!!
 
Halafu kuna mtu anakuambia the undertaker ni mcheza filamu tu
 
Hii ndio sabab pekee ikanifanya niamn huu mchezo n scriptd. Ata ukiangalia style ya pal herman alivyotupa ile bag n scriptd pia. Tunajua n maigzo, ila atlist wafanye maigzo km ya kpnd cha nyuma, ilikuwa ngum kuwashtukia. Lakn sku hz n upuuuz tu..

Ata ile super men punch ukiiangalia kwa makin haimfikii kbsa opponent. Ila atakavyo jiangusha sasaa, yan fully undez tu
Mmmh! huu mchezo huu!!
Mbona Mr. MITB kama kaweka kichwa vizur kwa ajili ya kuwa burn it down?!
 
Huu mchezo ni uigizaji tu mkuu.Tupo pamoja katika hili.
Super man punch ile ukipigwa ya kweli meno na damu vyote vinadondoka chini
 
Huu mchezo ni uigizaji tu mkuu.Tupo pamoja katika hili.
Super man punch ile ukipigwa ya kweli meno na damu vyote vinadondoka chini
Mbona huwa wanatoka damu na wkt mwingine mtu anaonekana kalegea kbs kwa kipigo.
Mf vile wanavyopigana na viti, fimbo.
 
Mbona huwa wanatoka damu na wkt mwingine mtu anaonekana kalegea kbs kwa kipigo.
Mf vile wanavyopigana na viti, fimbo.
Ofcoz kuna mara chache wanatoka damu. Na mara nyingi ni bahati mbaya. Sio kusudi la mpinzani. Na refa anaweza maliza pambano akiona hiyo hali maana mara zote wakati wa pambano anawasiliana na walioko vyumbani kupitia ile earpiece.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…