Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
- Thread starter
-
- #341
Elias na magitaa yake huwa nacheka sana.Spati picha Brown stromen akimkamata Elias..... Atamuua
Fin balor namlinganisha na Daniel Brian enzi zake.Kajamaa kagum sana kale...... Unakumbuka kwenye royal ramble aliingia wa pili... Ila akakomaa paka wakabak wanne..... Ndio aliekaa mda mrefu zaid kuliko wote
Huwa namuelewa sana Balor. Muda mwingi anatabasam tu.Fin balor namlinganisha na Daniel Brian enzi zake.
Awe anakup mangumi (Nia Jax)Inaitwa END OF DAYS hunyanyuki ukipigwa ile Corbin namkubali sana.
Kwa mademu namkubali sana yule Big NIA JAX...sijui why namuona sexy sana..natamani angekuwa demj wangu[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Kwa mimi Asuka ananiuaga..... Hasa akiingia na manjonjo yake yale.... Ananimaliza pale akivua kinyago chake alaf anakishusha kidogo kwenye meno.... Anakuwa km anaking'ata kwa mapoz huku akirembua basi mwenzio mie chaliiiii!!!!!!
Hivi strowman ana mkanda gani??Aliwahi kuchukua mkanda gani???....Damn!,ana manguvu mengi halafu akili hamna!!Elias na magitaa yake huwa nacheka sana.
Ila Strowman siyo binadam wa kawaida. Ni katili sana. Anashinda game then bado anakupa kibano tu.
Nilifurahia sana management ya WWE kumpangia zile mechi!!...Kale kajamaa kana dharau sana acha kaadhibiwe!!Walichomfanyia Miz ni uonevu..... We huwez kupigana mapambano mawili mfululizo... Alaf unaanza na seth rollings una malizia na fin ballor
Ha ha ah yeah tuwe tunapiganaAwe anakup mangumi (Nia Jax)
Hawa wote wanakuwa nyuma sana dstv na AFN sport2 wanaonyesha live na marudio latestEti hizo MBC power , MBC Action Sony Max unaweza kunipa ratiba zao za kuonyesha inawezekana nanyima uhondo bila kujua
Upo sahihi Chief! Kwa mfano ile j3 ya elimination chamber, wenyewe MBC + power wakaonyesha RAW ya Gauntlet machHawa wote wanakuwa nyuma sana dstv na AFN sport2 wanaonyesha live na marudio latest
Mi sjafurahia....ule ni uonevu...Nilifurahia sana management ya WWE kumpangia zile mechi!!...Kale kajamaa kana dharau sana acha kaadhibiwe!!
Yeye alivyowatukana akina Kurt angle alitegemea nini??!.....Lazima wampunish kwa style ile!!Mi sjafurahia....ule ni uonevu...
Hivi yule Ronda anapiga sanaeeh!!! Mbona ana hasira ivo!!Nataman kuona pambano la Asuka na Ronda rozy... Wakipangwa hawa sjui atapigwa nan
ExactlyFin balor namlinganisha na Daniel Brian enzi zake.
Fatilia match zake za ufc,ana finishing ya kukaba mkono ka asuka,,anavunja sana mkono ukikaa vbaya,,,yupo skilled sanaHivi yule Ronda anapiga sanaeeh!!! Mbona ana hasira ivo!!
Nasubiri siku atapopanda na asukaFatilia match zake za ufc,ana finishing ya kukaba mkono ka asuka,,anavunja sana mkono ukikaa vbaya,,,yupo skilled sana