Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Nina furahi the bar watakutana na the monster among men huko wrestlemania![emoji23][emoji23][emoji23]....huwa nafurahi sana watu jeuri wakikutana na jeuri mwenzao!
 
Asuka is nothing,amejikita kwenye kuvunja watu mikono!!....Alichomfanyia baunsa wangu-Nia jax Mungu anamuona!....Mwarubaini wake upo,Alexa yupo tayari kuvunjwa mikono ila atakufa nae!
Alexa hana kitu huyo, hata fair play hajui.kazi kusaidiwa na yule Rafiki yake.

Uzuri wa Asuka, anacheza Fair play sana na anashinda kihalali.

Sio huyo Alexis wako.

Atapigwa tu.( labda wanchangie na huyu Rafikiye)

Kuhusu kuvunja mtu mkono, kila mtu na Style yake.
 
Nia jax ni kweli amelia kama mtoto but Asuka she rather stay away from Alexa!....Alexa yupo tayari kuvunjwa mikono yote miwili huko wrestlemania ila atakufa nae kwenye kutetea mkanda wake wa universal championship!!
Hahaah...Unachekesha mzee, itakuwa humjui Alexis na janja janja zake.

She is nothing Compared to Asuka.

Kwanza umewahi kuangalia mpambano wao?
 
Hahaah...Unachekesha mzee, itakuwa humjui Alexis na janja janja zake.

She is nothing Compared to Asuka.

Kwanza umewahi kuangalia mpambano wao?
Na Wewe upo huku???
Huku ndio sipawezi kabisa
 
Hahahaah, Why hupawezi mkuu?

Is just an Entertainment.

Nimeanza nayo Kitambo sana, Toka Secondary... Enzi hizo tunagombania kuangalia Aidha MIELEKA au MPIRA..hahha

Ilikuwa full patashika, Na TV ni moja tu ya Shule...hahhahaha
Nimeamini kila mtu ana kitu akiuhusuducho
 
Wadau wreslemenia Lini?nasubiri sana pambano la Brock lesnar the beast na Roman reigns.namkubali sana Brock lesnar kuliko maelezo ila naona roman anafanyiwa figusi za kuchukua mkanda
 
Wadau wreslemenia Lini?nasubiri sana pambano la Brock lesnar the beast na Roman reigns.namkubali sana Brock lesnar kuliko maelezo ila naona roman anafanyiwa figusi za kuchukua mkanda
Tar 08 April mkuu.... Hii haitakiwi kukosa.... Hivi reigns atampiga Lesnar Kweli?
 
ASUKA ndo kila kitu..... Hakuna wa kumdefeat Huyu mdada
 
Asuka anapendeleea sana binafsi sijaona cha ziada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…