Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Bob Lashley juzi nimetokea bahati mbaya kumwona TNA, ilitokea nimekaa bar wakaweka channel yao.

Mzee wa spear huyu. Niliacha muda sana kuwaangalia WWE.
TNA huko ndiko chimbo la 2 la wanaotoka WWE
Johnny Impact (John Morisson) yupo TNA
Alberto De lio yupo TNA
Curt angle, samoe joe, bob roode, Draw na Aj styles wote wametokea TNA
Ikitoka WWE inafuata TNA
 
Anataka kusema finishing Kali kwa Sasa WWE ni ya Fin balor
 
Ni channel gani ya tv kwa sasa Tanzania inaonyesha wakuu? Na ipo king’amuzi gani?
 
DSTV ndo baba lao,wana special channel kwa ajili ya mieleka tu(wwe) inayoitwa WWE,24 hours ni wrestling!![emoji116]
Yaah of course, pia super sport 5 wanaomeshaga live.... Ila supersport 9 na 10 wanaomeshaga marudio usiku
 
Bob Lashley juzi nimetokea bahati mbaya kumwona TNA, ilitokea nimekaa bar wakaweka channel yao.

Mzee wa spear huyu. Niliacha muda sana kuwaangalia WWE.
Bob lashley alihamia ule mchezo wanaopigana ngumi na mateke na kuumizana sana, kule kwa kina conor mcGregor
 
Ongezea na ile kabali ya samoa joe
 
Katika mechi kali nliangalia mpaka leo cjaona kama ile kati ya Daniel Brayan ,Rand orton na Batista aseeh bonge la mechi
 
Ongezea na ile kabali ya samoa joe
Nimeisahau. Si unajua hawa jamaa juzi tu wametoka TNA wakiwemo yeye, Aj styles, Bob Roode (mzee wa glorious) na Drew
Finishing nyingine kali ni Broke Leasner (The beast)
 
Aseeh lile jitu linaloitwa brawn strowman linatisha kwasasa hakuna jitu lenye nguvu kama lile wwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…