Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,799
- 1,809
Ni namna gani naweza kumridhisha mwanamke?
All the best
Ok, according to what you think you mighty be right
Ipo hivi....Kisheria lazima uwe umesajiliwa kutoa huduma za kifedha....pia riba ya 20% kwa mwezi na sawa na 240% kwa mwaka ni haramu kwa sharia...nilikuwa nakutahadharisha ukimkuta mjuaji umeliwa....
hiyo biashara ni haramu.. na wizi mtupu..
endelea kufanya kienyeji enyeji mwenyewe ili siku ukienda jela uwe peke yako.
mi nina amini kwenye clean business, utajiri wa wizi hauna amani wala furaha moyoni...
kuwa mbunifu na ufanye clean business na kuifanya dunia izidi kuwa mahali salama na pazuri kwa kuishi kwa huduma yako