Wadau wa Mitindo: Umevaa Kiatu gani Leo?

Wadau wa Mitindo: Umevaa Kiatu gani Leo?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wanajukwaa la Mitindo.

Kiatu kikali kinabadirisha muonekano wako kabisa. Sasa kwakua kila mtu ana fleva yake ya kiatu, unaweza share ulichovaa leo wengine tukaona labda tunaweza pata idea mpya ya viatu.

Ikiwa siku ya kazi, unavaa casual or una meeting na maboss unavaeje?
IMG_6629.jpeg
IMG_6630.jpeg
IMG_6631.jpeg


Au mwamba wa site, gereji, tanesco wakata umeme, umevalia nn leo chini?
IMG_6634.jpeg


Watu wa raba j3 hadi j2 vipi mapigo yenu kwa leo?
IMG_6628.jpeg
IMG_6632.jpeg


Ukiwa job, street, mishe mishe, ghetto, etc ebu share na sisi mguuni umetupia nn, kama peku au socks potezea..
IMG_6635.jpeg
 
Back
Top Bottom