Wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi

Wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi

Mike Moe

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
319
Reaction score
335
Habari za wakati huu ndugu wana jf na wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi wa mchezo wa soka kwa hapa kwetu Tanzania.

Kwa sasa ambao tunataka kuitumikia football katika nyanja hizo mbili.

Kwa mwenye atakuwa na connection ya kufanikisha hayo tujuzane wakuu.
 
Habari za wakati huu ndugu wana jf na wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi wa mchezo wa soka kwa hapa kwetu Tanzania.

Kwa sasa ambao tunataka kuitumikia football katika nyanja hizo mbili.

Kwa mwenye atakuwa na connection ya kufanikisha hayo tujuzane wakuu.
Haa wee umeona waamuzi wa kibongo wanatuzingua hongera sana kwa uamuzi huo
 
Urefa unalipa sana zama hizi za GSM, hongera sana kwa kuiona fursa.
 
Habari za wakati huu ndugu wana jf na wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi wa mchezo wa soka kwa hapa kwetu Tanzania.

Kwa sasa ambao tunataka kuitumikia football katika nyanja hizo mbili.

Kwa mwenye atakuwa na connection ya kufanikisha hayo tujuzane wakuu.
Nenda tff utakuta kila kitu
 
umejipanga kuhonga ktk ngazi zote utakazopitia?Manake chama cha soka cha wilaya,mkoa hadi tff wenyewe, unatakiwa utumie zaidi ya milioni 7 kutafuta kazi ya urefarii ya laki tatu kila mechi. Vinginevyo endelea kulima magimbi huko kwenu SONGWE.
 
umejipanga kuhonga ktk ngazi zote utakazopitia?Manake chama cha soka cha wilaya,mkoa hadi tff wenyewe, unatakiwa utumie zaidi ya milioni 7 kutafuta kazi ya urefarii ya laki tatu kila mechi. Vinginevyo endelea kulima magimbi huko kwenu SONGWE.
Acha uchawi
 
Kuna academy ya Twalipo sijui iko dar au pwani sina hakika wanafundisha urefa nafikiri mwamuzi Isihaka Mwalile katokea hapo kama sijakosea
 
Back
Top Bottom