Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Haya ni Moja ya mahadhi ya hovyo kabisa yaliyoletwa na mwarabu na yameathiri tamaduni na Mila zetu##Kwanini waimbaji walio wengi wa taarabu ni wa jinsia ya kike?
##Kwanini nyimbo nyingi zinahusu mambo ya mahusiano/mapenzi? si ajabu kukuta kati ya nyimbo 10 zinazoimbwa zote ni za mahusiano. shida nini hasa? mambo mengine hayaimbiki au?
##Kwanini waimbaji wengi ni wanene? Hilo ni takwa la muziki wenyewe au ukiwa mwembamba kuna shida gani?
##Kwanini waimbaji lazima wavae mavazi makubwakubwa na mapana maarufu kama madela/dera? kuna siri gani kati ya hayo mavazi huo muziki? je ukivaa mavazi tofauti nini kinapungua?
Maswali yako yote ni ya kipumbavu##Kwanini waimbaji walio wengi wa taarabu ni wa jinsia ya kike?
##Kwanini nyimbo nyingi zinahusu mambo ya mahusiano/mapenzi? si ajabu kukuta kati ya nyimbo 10 zinazoimbwa zote ni za mahusiano. shida nini hasa? mambo mengine hayaimbiki au?
##Kwanini waimbaji wengi ni wanene? Hilo ni takwa la muziki wenyewe au ukiwa mwembamba kuna shida gani?
##Kwanini waimbaji lazima wavae mavazi makubwakubwa na mapana maarufu kama madela/dera? kuna siri gani kati ya hayo mavazi huo muziki? je ukivaa mavazi tofauti nini kinapungua?
1)Kesho utakuja na thread kwa nini waimbaji wa dansi wengi ni wanaume.##Kwanini waimbaji walio wengi wa taarabu ni wa jinsia ya kike?
##Kwanini nyimbo nyingi zinahusu mambo ya mahusiano/mapenzi? si ajabu kukuta kati ya nyimbo 10 zinazoimbwa zote ni za mahusiano. shida nini hasa? mambo mengine hayaimbiki au?
##Kwanini waimbaji wengi ni wanene? Hilo ni takwa la muziki wenyewe au ukiwa mwembamba kuna shida gani?
##Kwanini waimbaji lazima wavae mavazi makubwakubwa na mapana maarufu kama madela/dera? kuna siri gani kati ya hayo mavazi huo muziki? je ukivaa mavazi tofauti nini kinapungua?
Haya mkuuMimi siyo mdau wa taarabu, ngoja waje wadau wa taarabu wakupe majibu [emoji855][emoji41]
Asante mkuu kwa ufafanuzi mujarabhthere is a tiny line between waimbaji wa taarabu wa kiume na ushoga, yan mwanaumr unaimbaje taarabu unabana pua na kidole juu?? hua siwaelewagi kabisaa
sasa unataka taarabu asifie jinsi jafo anavyochanja mbuga? hizo utasubiri siku maalum kama nyimbo za chama au muungano kina khadija kopa lakini khadija yusuph akae chini aumize kichwa samia apewe mitano tena?? roma ataimba nini??
wengi hua ni maumbo au kubweteka yan kula kulala kupanda stejini kuimba hahusiani lakini mradi una sauti utaimba umbo sisi hatuna shida nalo yan sio shida zetu wala nn
unataka waimbe huku wamevaa vimini mahi? ni maamuzi mbona isha alishawah imba na jeans na american boots?
wanawakilisha utamaduni wa wa pwani, sasa pwani wanalima mpka ziimbwe nyimbo za kuhamasisha maendeleo, taarabu ni mapenzi na vijembe kwa wake wenza##Kwanini waimbaji walio wengi wa taarabu ni wa jinsia ya kike?
##Kwanini nyimbo nyingi zinahusu mambo ya mahusiano/mapenzi? si ajabu kukuta kati ya nyimbo 10 zinazoimbwa zote ni za mahusiano. shida nini hasa? mambo mengine hayaimbiki au?
##Kwanini waimbaji wengi ni wanene? Hilo ni takwa la muziki wenyewe au ukiwa mwembamba kuna shida gani?
##Kwanini waimbaji lazima wavae mavazi makubwakubwa na mapana maarufu kama madela/dera? kuna siri gani kati ya hayo mavazi huo muziki? je ukivaa mavazi tofauti nini kinapungua?
[emoji38][emoji38]mkuu kwani maendeleo ni kulima pekee?wanawakilisha utamaduni wa wa pwani, sasa pwani wanalima mpka ziimbwe nyimbo za kuhamasisha maendeleo, taarabu ni mapenzi na vijembe kwa wake wenza
[emoji38]haya bana naona nawew umechagua kuchamba we kweli mdau1)Kesho utakuja na thread kwa nini waimbaji wa dansi wengi ni wanaume.
2)Mambo mengine kama yapi? je nyimbo kama Wema hazina kwa Mungu, alioimba Mwanahawa Ally, Mama nipe radhi uliomba na Isha mashauzi na marehemu mama yake bi Rukia nao ni wa mapenzi? Nipe stara wa rahma machupa a.k.a Messi, Top in town ya Khadija Kopa, nk
3)Naona Abubakari Sudi (Prince Amigo ) ni mnene, Fatma Mahamudu(Fatma nyoro) naona naye alikuwa mnene, Naona Jokha Kasimu naye alikuwa mnene, Rahma Machupa mnene, Hammer Q Mzee wa pembe la ng'ombe naye alikuwa mnene nk.
4)Huo ni muziki wa pwani , na kila kazi ina mavazi yake na codes xake zinazowatofautisha na kazi zingine ,
Ko mzee Yusuf ni [emoji304]? [emoji23][emoji23][emoji23]there is a tiny line between waimbaji wa taarabu wa kiume na ushoga, yan mwanaumr unaimbaje taarabu unabana pua na kidole juu?? hua siwaelewagi kabisaa
sasa unataka taarabu asifie jinsi jafo anavyochanja mbuga? hizo utasubiri siku maalum kama nyimbo za chama au muungano kina khadija kopa lakini khadija yusuph akae chini aumize kichwa samia apewe mitano tena?? roma ataimba nini??
wengi hua ni maumbo au kubweteka yan kula kulala kupanda stejini kuimba hahusiani lakini mradi una sauti utaimba umbo sisi hatuna shida nalo yan sio shida zetu wala nn
unataka waimbe huku wamevaa vimini mahi? ni maamuzi mbona isha alishawah imba na jeans na american boots?
asante mkuuNi jinsi tafsiri ya muziki ulivyo... muziki wa taarabu ni wa pemba na watu wa pwani. Haijalishi ni ,wanaume au mwanamke, mbona wahindi wanaimba zile rhythm ukizifuata zinaendana na taarabu ila kwao wanaona fresh tu. Ni jinsi perception ya watu kuhusu muziki ila nahisi yeyote anaweza. Ila sio kile wanacho fanya wanawake sijui mashauzi na kidole kimoja juu na mwanaume afanye, huo ni ujinga sasa
uyo si tayari ana wake wawili au watatu hivi tena nao ni waimba taarabu auKo mzee Yusuf ni [emoji304]? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2962]Hee tumefika ukoNyanyuka na uende ukacheze taarabu utapata majibu.