La muhimu watu walewe, haijalishi wamekunywa nnNiko nimekaa na dogo hapa namhoji kidogo habari za chuo na maendeleo yake! Yeye anasoma udsm college moja iv ya science.
Dogo ananiambia et wenyewe hata usipo fikisha course work ilifika UE utaingia kama kawa ukapambane huko mwenyewe kufidia hizo marks zilizo pelea.
Nimeshangaa asee ina maana saiv mambo ndo rahisi ivo??? Watalaam Naombeni ufafanuzi?? Maana mimi najua enzi zetu course work isipo fika ndo umeliwa ivo huingii kwenye UE au saiv mambo yamebadilika??
CONAS hao hawana koziwekiNiko nimekaa na dogo hapa namhoji kidogo habari za chuo na maendeleo yake! Yeye anasoma UDSM college moja iv ya science.
Dogo ananiambia et wenyewe hata usipo fikisha course work ilifika UE utaingia kama kawa ukapambane huko mwenyewe kufidia hizo marks zilizo pelea.
Nimeshangaa asee ina maana saiv mambo ndo rahisi ivo??? Watalaam Naombeni ufafanuzi?? Maana mimi najua enzi zetu course work isipo fika ndo umeliwa ivo huingii kwenye UE au saiv mambo yamebadilika??
Raha ipo wapi hapo? Yaani marks ulizotakiwa kukusanya kwa tests,assignments na seminar ambazo kimsingi ni rahisi ukazipambanie kwenye UE ambayo imekazwa urahisi upo wapi hapo?Wana Raha sana hao...kivumbi cha kutafuta course work kipo kule Udom.
Kuna watu nasikia walienda Udom na Mentality ya kwamba chuo bata mwaka wa kwanza TU wakadisco kwa sababu ya below GPA
Lazima awe demu huyu. Msisitize asome.Niko nimekaa na dogo hapa namhoji kidogo habari za chuo na maendeleo yake! Yeye anasoma UDSM college moja iv ya science.
Dogo ananiambia et wenyewe hata usipo fikisha course work ilifika UE utaingia kama kawa ukapambane huko mwenyewe kufidia hizo marks zilizo pelea.
Nimeshangaa asee ina maana saiv mambo ndo rahisi ivo??? Watalaam Naombeni ufafanuzi?? Maana mimi najua enzi zetu course work isipo fika ndo umeliwa ivo huingii kwenye UE au saiv mambo yamebadilika??