wadau wa Uzbekistan wamtetea Mtanzania Salim Mtango wadai kaonewa chupa zarushwa ulingoni

wadau wa Uzbekistan wamtetea Mtanzania Salim Mtango wadai kaonewa chupa zarushwa ulingoni

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Jana ilikuwa ni pambano huko Uzbeki kati ya Salim Mtango vs ShohJahon Ergashev ni kituko kijana watu kapigwa ngumi moja kayumba kidogo lakini hajaanguka, refa kavunja pambano kwamba ni knockout hata hajamuhesabia hadi kumi.

kijana kajaribu kupinga uamuzi ukabaki palepale ila ziliztokea vurugu kubwa sana mashabiki walikataa kabisa.



haya ni maoni ya baadhi ya wadau wa huko kwenye you tube


tajik.PNG
 
Nimeangalia hili pambano, huyu jamaa alikua hajui nini kimempeleka ulingoni, anaonekana kama ni mtu kachukuliwa tu mtaani huko. Refa aliona anapoteza muda tu.
 
Nimeangalia hili pambano, huyu jamaa alikua hajui nini kimempeleka ulingoni, anaonekana kama ni mtu kachukuliwa tu mtaani huko. Refa aliona anapoteza muda tu.
humjui mtango wewe? unajua chupa zilirushwa ?yaani refa aone mtu anapoteza muda asihesabu hadi kumi?
 
Refa anamwambia wewe huwezi beans,wewe ni janja janja
 
w
Refa anamwambia wewe huwezi beans,wewe ni janja janja
alimuonea ilikuwa round ya kwanza tu kijana wa mwakinyo huyo alishawahi kuwa bingwa wa dunia, wadau walizomea sana ikatokea vurugu majaji wenyewe wamebishan robo saa nzima
 
Sasa hiyo figisu ya huko ingefanywa hapa kwetu lingemwagwa povu hapa sio la kitoto.
 
w

alimuonea ilikuwa round ya kwanza tu kijana wa mwakinyo huyo alishawahi kuwa bingwa wa dunia ,wadau walizomea sana ikatokea vurugu majaji wenyewe wamebishan robo saa nzima
Bingwa wa Dunia. Marekani walishiriki?
 
Wamemuonea dogo. Kama vipi tumualike aje huku huyo muzbeki. Na sisi tumuoneshe figisu zetu
 
Kama ligi daraja la kwanza, madhara ya makumpuni ya betting ndio haya
 
Back
Top Bottom