njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
humjui mtango wewe? unajua chupa zilirushwa ?yaani refa aone mtu anapoteza muda asihesabu hadi kumi?Nimeangalia hili pambano, huyu jamaa alikua hajui nini kimempeleka ulingoni, anaonekana kama ni mtu kachukuliwa tu mtaani huko. Refa aliona anapoteza muda tu.
alimuonea ilikuwa round ya kwanza tu kijana wa mwakinyo huyo alishawahi kuwa bingwa wa dunia, wadau walizomea sana ikatokea vurugu majaji wenyewe wamebishan robo saa nzimaRefa anamwambia wewe huwezi beans,wewe ni janja janja
Bingwa wa Dunia. Marekani walishiriki?w
alimuonea ilikuwa round ya kwanza tu kijana wa mwakinyo huyo alishawahi kuwa bingwa wa dunia ,wadau walizomea sana ikatokea vurugu majaji wenyewe wamebishan robo saa nzima
Kwamba ligi daraja la Kwanza Wana fix game??Kama ligi daraja la kwanza, madhara ya makumpuni ya betting ndio haya