Wadau wakasirishwa na muonekano wa toleo jipya la Toyota landcruiser la 300 series

Wadau wakasirishwa na muonekano wa toleo jipya la Toyota landcruiser la 300 series

IDEGENDA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
4,505
Reaction score
5,343
Picha za landcruiser 300 series zimeanza kuonekana huku wadau wakikasirishwa na muonekano mbaya wa gari huku wakilaumu kwamba wameua lengendari 200 series alafu wamekuja na utopolo.

Wengine wameenda mbali zaidi na kusema hiyo tena haiitwi landcruiser v8 mnyama tuliemzoea bali anaitwa
Land patrol kwa maana muonekano wake, pajero si pajero, patrol si patrol basi wameibatiza jina la land patrol.

NOTE: sisi tuendelee kukimbizana na gari zetu tulizozioea za wanyonge.

FB_IMG_1619680422363.jpg
 
Hii gari kiukweli muonekano wa mbele ni mbaya!
 
Bahati mbaya hio gari haijawa designed kwa ajili yetu wanyonge so hata miluzi yetu hawaisikii,si tukomae tu harrier tako la nyani
Naunga Mkono Hoja Kwa Asilimia Mia Moja
Najua Upo Deep Sana Huku Sisi Hakuna Lolote
US,European Ndiyo Waliweza Kurudisha Toyota Zenye Shida Ya Mfumo Wa Breki. Africa Kimya Kama Yanayokuja Yapo Sawa Sawa

Hata Simu Tumeshindwa
 
Msijali aise, lina sura mbaya lakini mtalizoea tu, wakileta na facelift yake miaka ya mbeleni itakuwa bomba kama ilivyokuwa kwa 2016.
 
Mbona gari imechongwa vizuri sana na hawajaipotezea umaridadi wake hata kidogo.
 
Back
Top Bottom