Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tapeli alibanwa kona zote, hakuwa na nafasi ya figisu.Siyo umwamba)ukomavu,bali hapakua na namna,bila hivyo saccos ilikua inasambaratika
Chumba Cha G I Z AAnaatahili pongezi kwakweli,kule Dodoma walienda chumba cha Giza wakarudi na jina moja eti kashinda,watu wakapigwa butwaa kashindanishwa na maruhani?
Chumba Cha GizaNadhani hujui maana ya Demokrasia π
Hiyo Ndio Demokrasia komavu πChumba Cha Giza
Wakasema Kapita Huyu
Kwa hiyo sasa sio saccos tena kwa sababu Lissu kawa mwenyekiti? πSiyo umwamba)ukomavu,bali hapakua na namna,bila hivyo saccos ilikua inasambaratika
The abracadava itself!Hiyo Ndio Demokrasia komavu π
Umeelewa sana uzi huu, NakupongezaNampongeza sana kwa uvumilivu ule uvumilivu wake ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Lissu alivyomchafua na watoto wa bavicha kumuita mlamba asali kala pesa za Abdul lissu akafikia kusema amemuua mzee kibao na lema anaposti picha za deus soka anasema mafumbo kuwa mbowe kamchomesha yule dogo.mimi ningemmwaga mtu mimavi. Haswa huyo lissu kamtikana saaaaana lakn huyu dingi kakausha kama hana hisia vile
Itabaki kuwa saccos,mamangi yatatafuta tu namna ya kumbana mnyampaaKwa hiyo sasa sio saccos tena kwa sababu Lissu kawa mwenyekiti? π
Nimecheka kwa sauti π πItabaki kuwa saccos,mamangi yatatafuta tu namna ya kumbana mnyampaa