Wadau Wampongeza Freeman Mbowe kwa Ukomavu wa Demokrasia na Uvumilivu uliotukuka

Siyo umwamba)ukomavu,bali hapakua na namna,bila hivyo saccos ilikua inasambaratika
 
Nampongeza sana kwa uvumilivu ule uvumilivu wake ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Lissu alivyomchafua na watoto wa bavicha kumuita mlamba asali kala pesa za Abdul lissu akafikia kusema amemuua mzee kibao na lema anaposti picha za deus soka anasema mafumbo kuwa mbowe kamchomesha yule dogo.mimi ningemmwaga mtu mimavi. Haswa huyo lissu kamtikana saaaaana lakn huyu dingi kakausha kama hana hisia vile
 
Vitengo hivyo kuwa chini ya Mwenyekiti ni demokrasia? Mnaposema fulani ana mamlaka makubwa huwa ni kwenye masuala ya kitaifa tu ila kwenye chama hamlioni? Safari ni ndefu kidogo.
 
Umeelewa sana uzi huu, Nakupongeza
 
STRONGER TOGETHER
STRONGER TOGETHER
STRONGER TOGETHER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…