Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Salaam Wakuu,
Kumekuwa na hoja ya wadau mbalimbali wa michezo, wanachana wa Simba na wasio Simba. Watu wanataka kujua nini kinakwamisha mchakato wa transformation kukamilika pamoja na uhalali wa Mo Dewji kuwekeza hisa 49% peke yake.
Yanga wapinzani wao wa jadi nao wapo kwenye mchakato wa kubadilisha uendeshaji wa Klabu yao kama ilivyo Simba.
Maswali nayojiuliza ni:
Je, Yanga wamekamilisha mchakato wao?
Kama bado kwanini waandishi hawahoji kuhusu Hilo?
Kama si halali kwa Mo Dewji kumiliki hisa 49% Simba je GSM atamiliki na nani kwa Yanga?
Wanaojua suala hili naombeni ufafanuzi.
Nawasilisha
Kumekuwa na hoja ya wadau mbalimbali wa michezo, wanachana wa Simba na wasio Simba. Watu wanataka kujua nini kinakwamisha mchakato wa transformation kukamilika pamoja na uhalali wa Mo Dewji kuwekeza hisa 49% peke yake.
Yanga wapinzani wao wa jadi nao wapo kwenye mchakato wa kubadilisha uendeshaji wa Klabu yao kama ilivyo Simba.
Maswali nayojiuliza ni:
Je, Yanga wamekamilisha mchakato wao?
Kama bado kwanini waandishi hawahoji kuhusu Hilo?
Kama si halali kwa Mo Dewji kumiliki hisa 49% Simba je GSM atamiliki na nani kwa Yanga?
Wanaojua suala hili naombeni ufafanuzi.
Nawasilisha