Wadau waungana na Wastara kwenye dua maalum ya kumwombea marehemu Sajuki..!!

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304


Msanii wa filamu Wastara jana ameungana na wadau mbalimbali wa filamu makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kusoma dua kwaajli ya marehemu mume wake, Juma Kilowoko aliyekuwa maarufu kwa jina Sajuki.


Mzee Chiro akiwa na Wastara
Hata hivyo Wastara alisema baada ya shughuli ya leo. dua rasmi ya marehemu Sajuki itafanyikia nyumbani kwao Songea, January 2, 2014.


Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuika.

Wastara na Flora Mvungi
Dua ikisomwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…