mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
nimewahi kufanya kazi kama msimamizi wa miradi katika ngo moja yenye makao yake hapa mjini, hvyo ninao uzoefu kiutendaji wa miaka miwili. Registration zinafanyika wapi? Tusaidiane mawazo kwa mwana jf yeyote mwenye ngo au mwenye wazo kama langu.