Wadau wenye uzoefu na biashara ya mafuta ya alizeti kutoka Singida nijuzeni kuhusu hii biashara

Wadau wenye uzoefu na biashara ya mafuta ya alizeti kutoka Singida nijuzeni kuhusu hii biashara

CONTROLA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2019
Posts
7,001
Reaction score
23,449
"Hbr zenu ndugu zangu, naombeni wenye uzoefu au utafit juu ya mafuta alizeti ya rejareja hii biashara inakaaje,, Asante u" (UJUMBE TOKA KWA DADA CHOLETA)

Wapendwa wenye taaarifa kuhusu hii biashara naomba mumsaidie dada yangu huyu Dada Choleta maana najua hapo alipo anatamani sana kupata kauelewa kuhusu hii biashara.

Leo nimekuta Dada Choleta kafungua hiyo thread PM kwangu,nikasema hiiiiiiii😳 kulikoni tena,nikajua kivyovyote huyu member Dada Choleta atakua mgeni JF na ktk gusa gusa zake akajikuta thread kaifungulia PM kwangu,ha ha ha msicheke aseee..

Maxence Melo nilikua nina ombi,naomba JF sijui muiweke vipi kwa wageni atleast kuwe na "MUST READ THREAD" kwa wanaojiunga JF kwa siku za kwanza na ktk hizo thread muweke mafundisho ya "jinsi ya kufungua thread",jinsi ya kumtumia mtu msg,nk nk hiii itasaidia wageni wengi kuelewa na kuijua JF kabla ya kufanya makosa kama ya Dada Choleta.

Hii imenipa picha kuwa kuna wageni wengi nnje ya JF wanaotamani fungua nyuzi humu,kutoa habari,kuchangia,nk nk lkn wanashindwa kutokana na ugeni wa huu mtandao pendwa sasa...

Haya turuudini kwenye mada yetu ya mezani DADA CHOLETA anaomba mumsaidie taarifa/mbinu nk nk kama ,mstari wa kwanza alionitumia alivyoandka,Hebu wakazi wa dodoma/singida na wafanya biashara wa mafuta ya ALIZETI tusaidiane kupeana details kwa faida ya mgeni wetu Dada Choleta.

Choleta dada haya uzi wako huuu nimeku tag mara nyingi nyingi ili vinotification uvipate uje kuona uzi wako.

#CONTROLA
 
Aisee mbona nimekuta anaunga hoja kule.
 
Asante
"Hbr zenu ndugu zangu, naombeni wenye uzoefu au utafit juu ya mafuta alizeti ya rejareja hii biashara inakaaje,, Asante u" (UJUMBE TOKA KWA DADA CHOLETA)

Wapendwa wenye taaarifa kuhusu hii biashara naomba mumsaidie dada yangu huyu Dada Choleta maana najua hapo alipo anatamani sana kupata kauelewa kuhusu hii biashara.

Leo nimekuta Dada Choleta kafungua hiyo thread PM kwangu,nikasema hiiiiiiii😳 kulikoni tena,nikajua kivyovyote huyu member Dada Choleta atakua mgeni JF na ktk gusa gusa zake akajikuta thread kaifungulia PM kwangu,ha ha ha msicheke aseee..

Maxence Melo nilikua nina ombi,naomba JF sijui muiweke vipi kwa wageni atleast kuwe na "MUST READ THREAD" kwa wanaojiunga JF kwa siku za kwanza na ktk hizo thread muweke mafundisho ya "jinsi ya kufungua thread",jinsi ya kumtumia mtu msg,nk nk hiii itasaidia wageni wengi kuelewa na kuijua JF kabla ya kufanya makosa kama ya Dada Choleta.

Hii imenipa picha kuwa kuna wageni wengi nnje ya JF wanaotamani fungua nyuzi humu,kutoa habari,kuchangia,nk nk lkn wanashindwa kutokana na ugeni wa huu mtandao pendwa sasa...

Haya turuudini kwenye mada yetu ya mezani DADA CHOLETA anaomba mumsaidie taarifa/mbinu nk nk kama ,mstari wa kwanza alionitumia alivyoandka,Hebu wakazi wa dodoma/singida na wafanya biashara wa mafuta ya ALIZETI tusaidiane kupeana details kwa faida ya mgeni wetu Dada Choleta.

Choleta dada haya uzi wako huuu nimeku tag mara nyingi nyingi ili vinotification uvipate uje kuona uzi wako.

#CONTROLA
Asante Kaka controla Ni kweli mi mgeni ndo hvyo ktk kubofya bofya,, samahani sn ndugu yngu lkn n ktk kujifunza. Nashukuru
 
Nadhani alikutumia wewe directly kwa kuwa kaona umekuwa na msaada sana upande huo.

Ni wewe tu umeshindwa kumuelewa.
sijajua mkuu sina uhakika ktk hilo maana msg yake haijakaa kama kalenga mtu mmoja...

bali inaonyesha kalenga kundi la watu hivyo yeyote mwenye uelewa nalo amsaidie,nimeona hivyo...

nadhani ndivyo ilivyo Dada Choleta kama nitakua sipo sahihi baasi PM yangu iko wazi,rudi tena tu...
 
Sasa dada Choleta watu wamwage mambo hapa hadharani huko PM pana mengi

Nwasilisha.
 
Asante ndugu controla, ninaweza kum PM, nashukuru unaonekana una hofu ya kiungu na Moyo wa upendo, MUNGU AKUBARIKI MNO MNO,, hata nimejaribu kupitia post zako kweli n za hekima, ubarikiwe mno mnooooo
QUOTE="CONTROLA, post: 36580795, member: 567367"]
Dada Choleta kapatikana mtu hapa,Njia ya PM yake unaijua au nikuelekeze?
[/QUOTE]
 
Ukitaka kufanya biashara ya mafuta ya Alizeti ni vyema ukatambua bei ya kununulia kwanza na pia bei ya kuuzia. Kwa hapa Singida kiwandani wanauza Gallon ya lita 3 elfu 8,000,galoni ya lita 5 elfu 14,000 na dumu elfu 53,000. Hiyo bei niliyoandika hapo ni rejareja kwa kiwandani na ukitaka kuchukua kwa bei ya jumla bei inapungua zaidi kwa sababu utachukua mzigo mkubwa. Karibu Singida
 
😀😀😀😀...nipo vizuri ndugu ninaye na Roho wa Mungu pia,,
Sasa dada Choleta watu wamwage mambo hapa hadharani huko PM pana mengi

Nwasilisha.
Ukitaka kufanya biashara ya mafuta ya Alizeti ni vyema ukatambua bei ya kununulia kwanza na pia bei ya kuuzia. Kwa hapa Singida kiwandani wanauza Gallon ya lita 3 elfu 8,000,galoni ya lita 5 elfu 14,000 na dumu elfu 53,000. Hiyo bei niliyoandika hapo ni rejareja kwa kiwandani na ukitaka kuchukua kwa bei ya jumla bei inapungua zaidi kwa sababu utachukua mzigo mkubwa. Karibu Singida
Asanteee, ubarikiwe. Singida ntatia timu asee,,
 
Ukitaka kufanya biashara ya mafuta ya Alizeti ni vyema ukatambua bei ya kununulia kwanza na pia bei ya kuuzia. Kwa hapa Singida kiwandani wanauza Gallon ya lita 3 elfu 8,000,galoni ya lita 5 elfu 14,000 na dumu elfu 53,000. Hiyo bei niliyoandika hapo ni rejareja kwa kiwandani na ukitaka kuchukua kwa bei ya jumla bei inapungua zaidi kwa sababu utachukua mzigo mkubwa. Karibu Singida
mkuu samahani,bei zikoje kwasasa hivi
 
Back
Top Bottom