Wadau wote wa mpira wa miguu mnaotaka kuuelewa mpira wa miguu na kuuchambua. Karibuni tubadilishane ujuzi, vitabu na maarifa

Wadau wote wa mpira wa miguu mnaotaka kuuelewa mpira wa miguu na kuuchambua. Karibuni tubadilishane ujuzi, vitabu na maarifa

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Habari wakuu,

Huu ni uzi maalumu kwa wadau wote wa mpira wa miguu mnaotaka kuuelewa mpira na kuuchambua mnakaribishwa

Pia wadau wote wenye hii taaluma mnakaribishwa kutoa somo na kubadilishana vitabu

Binafsi nimesoma vitabu viwili mpaka sasa kimoja namalizia

Jambo mbalo sikuwa nalijua ni kwamba ili mtu awe kocha atalazimika kukaa darasani kufundishwa sheria zote 17 za mpira wa miguu (referee course) atafanyishwa mtihani na kupimwa uelewa wqke, hivyo hivyo kwa wachezaji nao hufundishwa sheria zote 17, mchambuzi pia anapaswa kuzijua sheria zote 17

Pia katika vitabu nilivyosoma wamefafanunua mbinu na misamiati mbali mbali nitakuwa natoa ufafsnuzi zaidi

Wadau karibuni pia mnaruhusiwa kushare kile mnschokijua
 

Attachments

Hakuna wachambuzi hapa bongo wote ni wachumia tumbo na waangalia upepo wa Simba na Yanga.
 
Mimi nataka nitafute soccer Academy nataka niwe professional player
 
Habari wakuu,

Huu ni uzi maalumu kwa wadau wote wa mpira wa miguu mnaotaka kuuelewa mpira na kuuchambua mnakaribishwa

Pia wadau wote wenye hii taaluma mnakaribishwa kutoa somo na kubadilishana vitabu

Binafsi nimesoma vitabu viwili mpaka sasa kimoja namalizia

Jambo mbalo sikuwa nalijua ni kwamba ili mtu awe kocha atalazimika kukaa darasani kufundishwa sheria zote 17 za mpira wa miguu (referee course) atafanyishwa mtihani na kupimwa uelewa wqke, hivyo hivyo kwa wachezaji nao hufundishwa sheria zote 17, mchambuzi pia anapaswa kuzijua sheria zote 17

Pia katika vitabu nilivyosoma wamefafanunua mbinu na misamiati mbali mbali nitakuwa natoa ufafsnuzi zaidi

Wadau karibuni pia mnaruhusiwa kushare kile mnschokijua
Wachambuzi wengi waliyoko humu, hawana ufahamu wa mpira, lakini zaidi hawajui vitabu vinavyo elezea/ mafunzo ya mpira.
 
Wachambuzi wengi waliyoko humu, hawana ufahamu wa mpira, lakini zaidi hawajui vitabu vinavyo elezea/ mafunzo ya mpira.
Nimewaletea uzi huu watapata material yote hapa hapa
 
Back
Top Bottom