Wadogo zangu ngoja niwape stori fulani hivi kwenye muziki wa HipHop nchini Marekani

Wadogo zangu ngoja niwape stori fulani hivi kwenye muziki wa HipHop nchini Marekani

Arnold Kalikawe

Senior Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
152
Reaction score
374
Miaka ya 2000 kulikuwa na wanamuziki wanne wenye majina makubwa ambao hao waliamua kuwaita kwa jina la Big Four yani Jay Z, Nelly, DMX na Eminem. Huyu jamaa unayemuona kwenye picha aliibuka tu na kuanza kupiga kelele mitaani na Mixtape yake fulani hivi.
1717841850339.jpg


Hakuna yeyote kwenye hii Big Four aliyetamani kumgusa kwa sababu ya kukubalika huko mitaani. Halafu jambo baya likatokea, akapigwa risasi tisa mwilini mwake. Kila mmoja aliamini amekufa, amepotezwa milele.

Miezi mingi ikapita, eeeh! Jamaa huyu hapa amerudi na Mixtape nyingine. Ila katika kipindi hiki, miongoni mwa watu walionunua hiyo Mixtape alikuwa Paul Rosenberg (Huyu alikuwa ni meneja wa Eminem, aliinunua kwa ajili ya kwenda kumsikilizisha mshikaji amsikie kijana).

Akampa Eminem.

Katika moja ya interview Eminem alisema:

“Nilichokuwa najua ni kwamba 50 alipigwa risasi, na kila mmoja mpaka tasnia ya muziki ikajua jamaa alikufa hapohapo. Halafu baadaye Paul akanipa mixtape yake mpya, nakumbuka nilimuuliza, 50 Cent bado anarap?, akaniambia, nenda kaisikilize tu. Na nikafanya hivyo. Kitu cha kwanza nilichomwambia Paul, Huyu dogo ni hatari.”

Eminem akapendezwa nayo, akaona haiwezekani, ikabidi amtafute 50 na kumpa beat kwa ajili ya kufloo nayo, alitaka kuona ni kwa namna gani alikuwa na uwezo huo. 50 akapiga verses mbili matata na kumpa Eminem, naye akaongezea verse moja, hiyo ngoma ikaitwa Patiently Waiting.

Eminem akawasiliana na Dr. Dre na kumwambia kuhusu 50 Cent, akamwamini na hivyo kumsaini kwenye lebo yake ya Shady Record na Dre akaprodyuzi nusu ya albamu huku nusu ikiwa produced na Eminem chini ya Aftermath.

Baada ya kila kitu, baadaye ikaandaliwa In Da Club. Ngoma ikatoka, ikawa BOOOM. Yaani ninaposema BOOOOM ni BOOOM kweli.

Ikasikika dunia nzima, ikampa pesa nyingi, umaarufu wa kumwaga mpaka leo hii.

Kama 50 hajakuinspire kwenye safari yake ya mafanikio, nadhani hakuna chochote kile kitakachokuinspire.o
 
Nakumbuka Fiddy anatoka kwa beat ya Jam Master Jay ( wa Run DMC, RIP) mwaka 2002 kama sikosei, nikiwa Queens, New York.
 
Nimesoma kitabu chake amepitia mambo mengi.

Ila kitu kikubwa Sana aliposema "be committed with a clean lifestyle"

Amesema hustle haziwezi kumletea MTU matokeo chanya endapo huyo mtu atakuwa anatumia nguvu ya nje ili kuisapoti nguvu ya ndani Kama pombe, bangi, wanawake n.k.
 
Miaka ya 2000 kulikuwa na wanamuziki wanne wenye majina makubwa ambao hao waliamua kuwaita kwa jina la Big Four yani Jay Z, Nelly, DMX na Eminem. Huyu jamaa unayemuona kwenye picha aliibuka tu na kuanza kupiga kelele mitaani na Mixtape yake fulani hivi.
View attachment 3011799

Hakuna yeyote kwenye hii Big Four aliyetamani kumgusa kwa sababu ya kukubalika huko mitaani. Halafu jambo baya likatokea, akapigwa risasi tisa mwilini mwake. Kila mmoja aliamini amekufa, amepotezwa milele.

Miezi mingi ikapita, eeeh! Jamaa huyu hapa amerudi na Mixtape nyingine. Ila katika kipindi hiki, miongoni mwa watu walionunua hiyo Mixtape alikuwa Paul Rosenberg (Huyu alikuwa ni meneja wa Eminem, aliinunua kwa ajili ya kwenda kumsikilizisha mshikaji amsikie kijana).

Akampa Eminem.

Katika moja ya interview Eminem alisema:

“Nilichokuwa najua ni kwamba 50 alipigwa risasi, na kila mmoja mpaka tasnia ya muziki ikajua jamaa alikufa hapohapo. Halafu baadaye Paul akanipa mixtape yake mpya, nakumbuka nilimuuliza, 50 Cent bado anarap?, akaniambia, nenda kaisikilize tu. Na nikafanya hivyo. Kitu cha kwanza nilichomwambia Paul, Huyu dogo ni hatari.”

Eminem akapendezwa nayo, akaona haiwezekani, ikabidi amtafute 50 na kumpa beat kwa ajili ya kufloo nayo, alitaka kuona ni kwa namna gani alikuwa na uwezo huo. 50 akapiga verses mbili matata na kumpa Eminem, naye akaongezea verse moja, hiyo ngoma ikaitwa Patiently Waiting.

Eminem akawasiliana na Dr. Dre na kumwambia kuhusu 50 Cent, akamwamini na hivyo kumsaini kwenye lebo yake ya Shady Record na Dre akaprodyuzi nusu ya albamu huku nusu ikiwa produced na Eminem chini ya Aftermath.

Baada ya kila kitu, baadaye ikaandaliwa In Da Club. Ngoma ikatoka, ikawa BOOOM. Yaani ninaposema BOOOOM ni BOOOM kweli.

Ikasikika dunia nzima, ikampa pesa nyingi, umaarufu wa kumwaga mpaka leo hii.

Kama 50 hajakuinspire kwenye safari yake ya mafanikio, nadhani hakuna chochote kile kitakachokuinspire.o
Bonge la album ""Get Rich or Die Tryin""

Pia
50 Cent ana movie na Kuna kitabu Cha Maisha yake kinaitwa
HUSTLE HARDER, HUSTLE SMARTER kitabu kina madini na inspiration story yenye mafunzo na inasisimua sana
 
Miaka ya 2000 kulikuwa na wanamuziki wanne wenye majina makubwa ambao hao waliamua kuwaita kwa jina la Big Four yani Jay Z, Nelly, DMX na Eminem. Huyu jamaa unayemuona kwenye picha aliibuka tu na kuanza kupiga kelele mitaani na Mixtape yake fulani hivi.
View attachment 3011799

Hakuna yeyote kwenye hii Big Four aliyetamani kumgusa kwa sababu ya kukubalika huko mitaani. Halafu jambo baya likatokea, akapigwa risasi tisa mwilini mwake. Kila mmoja aliamini amekufa, amepotezwa milele.

Miezi mingi ikapita, eeeh! Jamaa huyu hapa amerudi na Mixtape nyingine. Ila katika kipindi hiki, miongoni mwa watu walionunua hiyo Mixtape alikuwa Paul Rosenberg (Huyu alikuwa ni meneja wa Eminem, aliinunua kwa ajili ya kwenda kumsikilizisha mshikaji amsikie kijana).

Akampa Eminem.

Katika moja ya interview Eminem alisema:

“Nilichokuwa najua ni kwamba 50 alipigwa risasi, na kila mmoja mpaka tasnia ya muziki ikajua jamaa alikufa hapohapo. Halafu baadaye Paul akanipa mixtape yake mpya, nakumbuka nilimuuliza, 50 Cent bado anarap?, akaniambia, nenda kaisikilize tu. Na nikafanya hivyo. Kitu cha kwanza nilichomwambia Paul, Huyu dogo ni hatari.”

Eminem akapendezwa nayo, akaona haiwezekani, ikabidi amtafute 50 na kumpa beat kwa ajili ya kufloo nayo, alitaka kuona ni kwa namna gani alikuwa na uwezo huo. 50 akapiga verses mbili matata na kumpa Eminem, naye akaongezea verse moja, hiyo ngoma ikaitwa Patiently Waiting.

Eminem akawasiliana na Dr. Dre na kumwambia kuhusu 50 Cent, akamwamini na hivyo kumsaini kwenye lebo yake ya Shady Record na Dre akaprodyuzi nusu ya albamu huku nusu ikiwa produced na Eminem chini ya Aftermath.

Baada ya kila kitu, baadaye ikaandaliwa In Da Club. Ngoma ikatoka, ikawa BOOOM. Yaani ninaposema BOOOOM ni BOOOM kweli.

Ikasikika dunia nzima, ikampa pesa nyingi, umaarufu wa kumwaga mpaka leo hii.

Kama 50 hajakuinspire kwenye safari yake ya mafanikio, nadhani hakuna chochote kile kitakachokuinspire.o
Uzuri wa mifumo ya nchi zilizoendelea uqkiwa na juhudi haikutupi kongore kwake!
 
Nimesoma kitabu chake amepitia mambo mengi.

Ila kitu kikubwa Sana aliposema "be committed with a clean lifestyle"

Amesema hustle haziwezi kumletea MTU matokeo chanya endapo huyo mtu atakuwa anatumia nguvu ya nje ili kuisapoti nguvu ya ndani Kama pombe, bangi, wanawake n.k.
Wapo WANAO tumia kwa kiasi nguvu ya nje na inawaletea matokeo chanya..
Misuse ya kitu chochote Basi jua lazima kilete uraibu mwisho wa siku unajikuta hautimizi malengo
 
Miaka ya 2000 kulikuwa na wanamuziki wanne wenye majina makubwa ambao hao waliamua kuwaita kwa jina la Big Four yani Jay Z, Nelly, DMX na Eminem. Huyu jamaa unayemuona kwenye picha aliibuka tu na kuanza kupiga kelele mitaani na Mixtape yake fulani hivi.
View attachment 3011799

Hakuna yeyote kwenye hii Big Four aliyetamani kumgusa kwa sababu ya kukubalika huko mitaani. Halafu jambo baya likatokea, akapigwa risasi tisa mwilini mwake. Kila mmoja aliamini amekufa, amepotezwa milele.

Miezi mingi ikapita, eeeh! Jamaa huyu hapa amerudi na Mixtape nyingine. Ila katika kipindi hiki, miongoni mwa watu walionunua hiyo Mixtape alikuwa Paul Rosenberg (Huyu alikuwa ni meneja wa Eminem, aliinunua kwa ajili ya kwenda kumsikilizisha mshikaji amsikie kijana).

Akampa Eminem.

Katika moja ya interview Eminem alisema:

“Nilichokuwa najua ni kwamba 50 alipigwa risasi, na kila mmoja mpaka tasnia ya muziki ikajua jamaa alikufa hapohapo. Halafu baadaye Paul akanipa mixtape yake mpya, nakumbuka nilimuuliza, 50 Cent bado anarap?, akaniambia, nenda kaisikilize tu. Na nikafanya hivyo. Kitu cha kwanza nilichomwambia Paul, Huyu dogo ni hatari.”

Eminem akapendezwa nayo, akaona haiwezekani, ikabidi amtafute 50 na kumpa beat kwa ajili ya kufloo nayo, alitaka kuona ni kwa namna gani alikuwa na uwezo huo. 50 akapiga verses mbili matata na kumpa Eminem, naye akaongezea verse moja, hiyo ngoma ikaitwa Patiently Waiting.

Eminem akawasiliana na Dr. Dre na kumwambia kuhusu 50 Cent, akamwamini na hivyo kumsaini kwenye lebo yake ya Shady Record na Dre akaprodyuzi nusu ya albamu huku nusu ikiwa produced na Eminem chini ya Aftermath.

Baada ya kila kitu, baadaye ikaandaliwa In Da Club. Ngoma ikatoka, ikawa BOOOM. Yaani ninaposema BOOOOM ni BOOOM kweli.

Ikasikika dunia nzima, ikampa pesa nyingi, umaarufu wa kumwaga mpaka leo hii.

Kama 50 hajakuinspire kwenye safari yake ya mafanikio, nadhani hakuna chochote kile kitakachokuinspire.o
Kama wewe unatoka kwenye ukoo wa Dj Kalikali unalosema ni kweli tupu
 
Queens, ulikuwa unaishii na vibaka huko, pamoja na south bronx
Najua raha yako ni kunifikiria mabaya.

Endelea kusumbuka kunifikiria mabaya, mimi nasumbua ki hwa chako, wewe hata sina muda wa kukufikiria unaishi wapi na unafanya nini.
 
Najua raha yako ni kunifikiria mabaya.

Endelea kusumbuka kunifikiria mabaya, mimi nasumbua ki hwa chako, wewe hata sina muda wa kukufikiria unaishi wapi na unafanya nini.
Mbona unapata kiranga kwenye comment tu mkuu, chill out ni maneno tu hayo.
 
Mbona unapata kiranga kwenye comment tu mkuu, chill out ni maneno tu hayo.
Mbona unanishobokea sana mimi hata sikujui na sitaki watu wanaonishobokea na kuniparatia paratia.

Unatafuta bwana kwa nguvu kutaka kunizoea zoea wakati sikujui na sina utani nawe?

Fvck out of here.
 
Mbona unanishobokea sana mimi hata sikujui na sitaki watu wanaonishobokea na kuniparatia paratia.

Unatafuta bwana kwa nguvu kutaka kunizoea zoea wakati sikujui na sina utani nawe?

Fvck out of here.
Upo sahihi hapo kwenye kutafuta bwana, Ni kweli natafuta bwana lakin awe anatoa ndogo/tigo

Hizo shobo nyingine sina.
 
Upo sahihi hapo kwenye kutafuta bwana, Ni kweli natafuta bwana lakin awe anatoa ndogo/tigo

Hizo shobo nyingine sina.
Wewe unatafuta bwana wa kukuparamia nyuma na mimi situmii bidhaa unayouza

Nakupeleka straight to ignore list kuanzia hapa sitaona unachoandika.

Huna privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja.
 
Wewe unatafuta bwana wa kukuparamia nyuma na mimi situmii bidhaa unayouza

Nakupeleka straight to ignore list kuanzia hapa sitaona unachoandika.

Huna privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja.
I'll do the same, you go straight to trash list.

Short temper little mahfvcker.
 
Jamaa kaingia kwenye movies na series....Expendables IV yumo
 
Back
Top Bottom