kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Wadukuzi wametengeneza njia ya kushambulia urusi kupitia internet ili kupunguza wimbi la usambazaji wa taarifa za uongo (propaganda)
bit.ly
Njia wanayotumia inaitwa DDOS Attack (Distributed Denial Of Service) Kiufupi ni kwamba user akifungua hio link atatumia kifaa chake kutuma random requests kwenye hizo server na kisha server zitafulika na kuacha kufanya kazi, the more the requests, the higher the rate of success
Nenko
Njia wanayotumia inaitwa DDOS Attack (Distributed Denial Of Service) Kiufupi ni kwamba user akifungua hio link atatumia kifaa chake kutuma random requests kwenye hizo server na kisha server zitafulika na kuacha kufanya kazi, the more the requests, the higher the rate of success