Wadukuzi hutumia njia zifuatazo kudukua Taarifa za Mtumiaji wa Wi-Fi

Wadukuzi hutumia njia zifuatazo kudukua Taarifa za Mtumiaji wa Wi-Fi

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1. Kwa kutumia Wi-Fi moja, watu wanapojiunga na mtandao mmoja wa Wi-Fi mdukuzi ana uwezo wa kuingia kwenye mtandao huo na kupata taarifa zote za watumiaji.

2. Wadukuzi hutengeneza hotispoti za uongo, ukijaribu kuingia kwenye hiyo hotispoti wana uwezo wa kudukua taarifa zako binafsi.
IMG_20210421_151606_067.jpg
 
Upvote 0
Sasa wifi au hot spot manake sie wengi tuna router za wifi na hiyo hot spot ni kitu ingine tuweke sawa mkuu
 
Ndio maana kila ninapo tumia wifi nakua katika VPN mode ili kuficha kifaa changu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom