Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wote ni wauza bamia?Mi naona kama wanashabihana for some character huwa siwaelewi hawa ndugu zetu
Any wayz.
Najua wana bodi mna mengi kuhusu hawa watu
Hasa ki mienendo yao.
Una hoja nzuri kiasi lakini implementation kidogo ina kasoro.. Yani hapa ni kama kuwajadili watu direct... Jambo ltakaloondoa ile sifa ya u great thinkerMi naona kama wanashabihana for some character huwa siwaelewi hawa ndugu zetu
Any wayz.
Najua wana bodi mna mengi kuhusu hawa watu
Hasa ki mienendo yao.
Kaka mkubwaUna hoja nzuri kiasi lakini implementation kidogo ina kasoro.. Yani hapa ni kama kuwajadili watu direct... Jambo ltakaloondoa ile sifa ya u great thinker
Ulichotakiwa kufanya ni hiki... Ungewafuatiia kwa karibu mienendo na tabia zao kisha ukaingia kutafuta maarifa ya ujuzi saikolojia, haiba, mtazamo na hulka za watu wa aina yao..
Ungeandika post yako kihivyo halafu wao wakawa kama case study tuu.. Ingekuwa bonge la post
Niambie dada wa mimiKaka mkubwa
Leo nimekuotaNiambie dada wa mimi
KIAJE dada[emoji3] [emoji144] [emoji87]Leo nimekuota
Umenipa liftKIAJE dada[emoji3] [emoji144] [emoji87]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kwenye ungo?Umenipa lift
Hapana. Ufagio ule wachelewa ule wakufagilia nje[emoji15] [emoji15] [emoji15] kwenye ungo?
Hapana. Ufagio ule wachelewa ule wakufagilia nje
Inabidi tuonane haraka [emoji3] [emoji3]Hapana. Ufagio ule wachelewa ule wakufagilia nje
Shukrani mshana wewe ni miongoni mwa watu nawaamini sana hapa jukwaani na ukichangia mjadala ninaoanzisha hapa huwa nafarijika sanaUna hoja nzuri kiasi lakini implementation kidogo ina kasoro.. Yani hapa ni kama kuwajadili watu direct... Jambo ltakaloondoa ile sifa ya u great thinker
Ulichotakiwa kufanya ni hiki... Ungewafuatiia kwa karibu mienendo na tabia zao kisha ukaingia kutafuta maarifa ya ujuzi saikolojia, haiba, mtazamo na hulka za watu wa aina yao..
Ungeandika post yako kihivyo halafu wao wakawa kama case study tuu.. Ingekuwa bonge la post