Kuna mdogo wangu amemaliza high school ameniomba nimu nunulie gari ya kufanya bolt hapa dar es salaam ili aweze kukusanya pesa ya kujilipia ada chuoni ambae kwa jumla anahitajika 8m kwa kila mwaka.
Hiyo biashara siijui na sina uzoefu nao je kuna changamoto ngumu za kumzuia kupata hiyo pesa, pia gari gani ni nzuri kwa hiyo kazi naombeni ushauri.
On the same note pia kuna ndugu yangu mualimu anastaafu mwaka hu alinimba nimpe mtaji wa hiyo gari ya bolt atanilejeshea hiyo pesa ndani ya miaka miwili hivi inawezakana wenye uzoefu tafadhari ushauri wenu.
Hiyo biashara siijui na sina uzoefu nao je kuna changamoto ngumu za kumzuia kupata hiyo pesa, pia gari gani ni nzuri kwa hiyo kazi naombeni ushauri.
On the same note pia kuna ndugu yangu mualimu anastaafu mwaka hu alinimba nimpe mtaji wa hiyo gari ya bolt atanilejeshea hiyo pesa ndani ya miaka miwili hivi inawezakana wenye uzoefu tafadhari ushauri wenu.