Unajua maana ya haramu ukifika nchi ya watu bila kufwata mwongozo pamija na immigration we n haramu mkuuKwani watanzania nao ushaona wanazamia Ethiopia ama kuita?
Kwanza kuwaita watu haramu snini ni ubaguzi tu. Sijawahi kusikia waethiopia wakifanya uhalifu hapa nchini.
Sisi kuwa sehemu ya njia kwao kupita kwa nini iwe mateso kwao? Yaan tumekaa barabarani afu tunawazuia wapitaji.
Tuwawekee utaratibu wa kupita ambao ni rahisi tu. Moja ya haki za binadamu ni free movement sasa hawa kila siku wanaleta habari kuwa wamewakamata brabraa.
Achaa mpwaa kwani si walisimamisha mahakama ya ulayq lile ziezi ama linaanza na wapya watakaokamatwa na sisi tuwapeleke tu Rwanda hawa waethiopia hakinajinsi hivi mbona madada hawapoogi wakijamatwaqHuwezi kuzuia human traffic, huo ni mtandao mkubwa.
Alichoamuwa muingereza sasa hivi ukitia puwa yako Uingereza kinyume cha sheria makazi yako Rwanda, Kagame ameshavuta mpunga wake.
Ndicho sitaki huu ujinga. Yaani ni sawa mtu apite uwanjani kwako uanze kumwambia mzurulaji?Unajua maana ya haramu ukifika nchi ya watu bila kufwata mwongozo pamija na immigration we n haramu mkuu