Pre GE2025 Wafadhili (Donors) wakatae kuipa Tanzania misaada kama hakutakuwa na mdahalo wa wazi nafasi ya Urais Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Wafadhili (Donors) wakatae kuipa Tanzania misaada kama hakutakuwa na mdahalo wa wazi nafasi ya Urais Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kama ambavyo tuliona mdahalo wa CHADEMA mwezi Januari, nadhani kama watanzania tunahitaji pia kuona wagombea wa Urais wakichuana kwenye mdahalo kipindi cha kampeni.

Tumechoka kuona scripted speeches. Tunataka kuona watu watakaochuana kwenye Urais wakiwa on stage wakitetea hoja zao.

Kwenye chaguzi wa mwaka 2015, tuliona TWAWEZA waliandaa mdahalo lakini ni ACT Wazalendo, CHAUMMA na ADC ndio walikubali kushiriki lakini CCM na UKAWA wakaonesha kusuasua.

Ni muda wa donors au nchi wahisani kutusaidia. Waseme kwa umoja wao hakutakuwa na misaada iwapo kutakuwa hakuna mdahalo mwaka huu.

Tunataka kuona Samia akitetea hoja zake dhidi ya mgombea wa CHADEMA and vice versa.

Mambo ya kukariri speech alafu unakuja tuguizia on stage hatutaki.

Donors inabidi wamfahamu vizuri mtu watakayempa pesa zao. There is no point ya kumpa misaada mtu ambaye hata ku-debatw on stage hawezi.


kamala.png
 
Wakuu,

Kama ambavyo tuliona mdahalo wa CHADEMA mwezi Januari, nadhani kama watanzania tunahitaji pia kuona wagombea wa Urais wakichuana kwenye mdahalo kipindi cha kampeni.

Tumechoka kuona scripted speeches. Tunataka kuona watu watakaochuana kwenye Urais wakiwa on stage wakitetea hoja zao.

Kwenye chaguzi wa mwaka 2015, tuliona TWAWEZA waliandaa mdahalo lakini ni ACT Wazalendo, CHAUMMA na ADC ndio walikubali kushiriki lakini CCM na UKAWA wakaonesha kusuasua.

Ni muda wa donors au nchi wahisani kutusaidia. Waseme kwa umoja wao hakutakuwa na misaada iwapo kutakuwa hakuna mdahalo mwaka huu.

Tunataka kuona Samia akitetea hoja zake dhidi ya mgombea wa CHADEMA and vice versa.

Mambo ya kukariri speech alafu unakuja tuguizia on stage hatutaki.

Donors inabidi wamfahamu vizuri mtu watakayempa pesa zao. There is no point ya kumpa misaada mtu ambaye hata ku-debatw on stage hawezi.


Hakuna kama hicho

Tanzania asilmia kubwa wako vijijini hawana radio wala Tv
CCM kila kijiji na mitaa tuna matawi ya CCM

Wananchi huko wanatujua hawahitaji mdahalo kutujua

Maendeleo tuliyofanya yanajieleza.Mwenye macho haambiwi tizama

Wenye maneno matupu kama akina Lisu waende mdahalo kuongea vitu hewa

CCM hatuhitaji mdahalo
 
Yaani wananchi tuteseke kisa wanasiasa wawili ambao behind closed doors ukute wanaongea lugha koja hawajakutana stejini kutuigizia demokrasia...... You're not serious
 
Ili Tanzania 🇹🇿 ipewe msaada hahihitaji midahalo .ila tu inatoa ilichonacho na kupewa hela basi .
 
Wakuu,

Kama ambavyo tuliona mdahalo wa CHADEMA mwezi Januari, nadhani kama watanzania tunahitaji pia kuona wagombea wa Urais wakichuana kwenye mdahalo kipindi cha kampeni.

Tumechoka kuona scripted speeches. Tunataka kuona watu watakaochuana kwenye Urais wakiwa on stage wakitetea hoja zao.

Kwenye chaguzi wa mwaka 2015, tuliona TWAWEZA waliandaa mdahalo lakini ni ACT Wazalendo, CHAUMMA na ADC ndio walikubali kushiriki lakini CCM na UKAWA wakaonesha kusuasua.

Ni muda wa donors au nchi wahisani kutusaidia. Waseme kwa umoja wao hakutakuwa na misaada iwapo kutakuwa hakuna mdahalo mwaka huu.

Tunataka kuona Samia akitetea hoja zake dhidi ya mgombea wa CHADEMA and vice versa.

Mambo ya kukariri speech alafu unakuja tuguizia on stage hatutaki.

Donors inabidi wamfahamu vizuri mtu watakayempa pesa zao. There is no point ya kumpa misaada mtu ambaye hata ku-debatw on stage hawezi.


Tanzania ni nchi huru inajiamulia mambo yake. Nchi sio kama chadema inayopangiwa ajenda na Ford foundation.
 
Mdahalo ni jambo zuri lakini hakuna ulazima.
Raisi Ruto yupo vizuri kwa debate lakini juzi wamemchagua mwizi namba mmoja Afrika,na wa pili duniani.
 
Kwa nini isiwe kigezo uchaguzi huru na haki. Kwamba kuwe na tume huru. Debate hata ikifanyika na Mama aje na majibu ya kusoma,bila tume huru ni zero

Nakazia na hii pia.

Lakini hiyo itachukua muda CCM tunawajua
 
Mdahalo ni jambo zuri lakini hakuna ulazima.
Raisi Ruto yupo vizuri kwa debate lakini juzi wamemchagua mwizi namba mmoja Afrika,na wa pili duniani.

Mdahalo utaonesha tunaongozwa na mtu wa aina gani.

Haiwezekani ndani ya miaka 5 speech zako zote unaandikiwa unachofanya ukienda mbele ya halaiki ni kusoma tu.

Kama wanafunzi mashuleni wanafanya midahalo, kwanini kiongozi mkubwa aogope?
 
Yaani wananchi tuteseke kisa wanasiasa wawili ambao behind closed doors ukute wanaongea lugha koja hawajakutana stejini kutuigizia demokrasia...... You're not serious

Kwani sasa hivi ambavyo hakuna midahalo wananchi hawateseki?
 
Hakuna kama hicho

Tanzania asilmia kubwa wako vijijini hawana radio wala Tv
CCM kila kijiji na mitaa tuna matawi ya CCM

Wananchi huko wanatujua hawahitaji mdahalo kutujua

Maendeleo tuliyofanya yanajieleza.Mwenye macho haambiwi tizama

Wenye maneno matupu kama akina Lisu waende mdahalo kuongea vitu hewa

CCM hatuhitaji mdahalo

Mmefanya maendeleo gani?

Hata matundu ya vyoo mnasaidiwa na USAID.
 
Ni Jambo jema
Wakuu,

Kama ambavyo tuliona mdahalo wa CHADEMA mwezi Januari, nadhani kama watanzania tunahitaji pia kuona wagombea wa Urais wakichuana kwenye mdahalo kipindi cha kampeni.

Tumechoka kuona scripted speeches. Tunataka kuona watu watakaochuana kwenye Urais wakiwa on stage wakitetea hoja zao.

Kwenye chaguzi wa mwaka 2015, tuliona TWAWEZA waliandaa mdahalo lakini ni ACT Wazalendo, CHAUMMA na ADC ndio walikubali kushiriki lakini CCM na UKAWA wakaonesha kusuasua.

Ni muda wa donors au nchi wahisani kutusaidia. Waseme kwa umoja wao hakutakuwa na misaada iwapo kutakuwa hakuna mdahalo mwaka huu.

Tunataka kuona Samia akitetea hoja zake dhidi ya mgombea wa CHADEMA and vice versa.

Mambo ya kukariri speech alafu unakuja tuguizia on stage hatutaki.

Donors inabidi wamfahamu vizuri mtu watakayempa pesa zao. There is no point ya kumpa misaada mtu ambaye hata ku-debatw on stage hawezi.


 
Back
Top Bottom