Awe wakishua atambe.. huko mikocheni kahamia juzijuzi kakulia moro yule tena kalelewa na mama huyo babake mzazi kamjulia uzeeni tena baada ya kwenda mjengoni.
C nasikia tena ni baba ake wa kumlea na kashalala nae, kwao ni mbez ya kimar ndo mama yake anapoish
Nimemsahau RIO PAUL, ALLY REHMTULAH, MARTIN KADINDA, FAIZA HAIDERY, JUX
Mmh na anapenda kuji paisha, ashukur mungu kasoma shule nzur na ana ajira yak inayomuwek mjin
Kadinda how ??? Yule St. Kayumba.... usiwasahau kina Nancy Sumari walioishi Kenya na Faraja Kotta nae kwao wa kishua bila kumsahau P Funk Majani enzi hizo anasoma IST na Master Jay pia kwao sio mchache nae kasoma nje msingi na chuo UK na maza wake mpk sasa anaishi South..
na joti baba yake alikuwa balozi lakini wa hapa hapa mtaani kwetu
Ila ana ung'eng'e mtamu madam anasubir , si nasikia mtoto wa mikochen yule aka mtoto wa malinz
Ok, ivi umesikia umbea binamu wa uko insta?? Naona team wema wana msiba leo, nasikia kuna mtu kapost picha ya mama wema akiwa uchiii wa mnyama kipwapwiso chote nje, sasa haijajulikana ni kweli au editing
Acha uongo ww, mama'ke GK Mama Kaihula alikua lectuler cbe na sio sekondary kama unavodai
Ok, ivi umesikia umbea binamu wa uko insta?? Naona team wema wana msiba leo, nasikia kuna mtu kapost picha ya mama wema akiwa uchiii wa mnyama kipwapwiso chote nje, sasa haijajulikana ni kweli au editing
binamu nimeona aisee madam analalamika mbaya ye mwenyewe anasema wamemuweza safari hii
hizi team hizi
Angewapiga marufuku hizo team zake kutukana watu hovyo, maana hizo team ndo chanzo, naona jipange kawa mpole leo , huyo aliyetengeneza hizo picha kawaweza
Tatizo ni hizo kaya unazoendekeza!.. sasa uongo wangu upo wapi wakati mi kanifunsisha gs pale huyo mwalimu illegal( jina lake maarufu enzi zile). Huko kwingine labda ilikuwa part time tu. Ila proffessionally ni mwalimu wa sekondari. Kwa kifupi alimfundisha mnyika pia gs pale tambaza. Inawezekana michongo ya kuingia kwenye siasa kapewa na kijana wake mnyika. Watu wanatoka kwa kujuana nchi hii si ccm si chadema wala udp
Na salama jabir je??, k-lyn,
sio Jamal malinzi wa tff binamy