Wafahamu ma-IGP wa Tanzania

Wafahamu ma-IGP wa Tanzania

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Kwa rekodi za kipolisi IGP wa kwanza kurekodiwa ni Harun Mahundi ambayo alishika wadhifa huo miaka ya 1990s. Mwaka 1996 hadi mwaka 2006 wadhifa huo ulishikiriwa na Omary Mahita.

Kuanzia 2006 hadi mwaka 2013 Said Mwema alishika kijiti cha wadhifa huo, ambapo alipokezana na Ernest Mangu aliyeshika wadhifa huo kuanzia 2013 hadi 2016 ambapo aliingia kamanda Simon Sirro hadi 2022 ambapo Camilius Wambura ameteuliwa kushika wadhifa huo.
Screenshot 2022-07-20 at 12-05-33 kuhusu sisi - JESHI LA POLISI TANZANIA.png

Nawasilisha.
 
Kwa rekodi za kipolisi IGP wa kwanza kurekodiwa ni Harun Mahundi ambayo alishika wadhifa huo miaka ya 1990s. Mwaka 1996 hadi mwaka 2006 wadhifa huo ulishikiriwa na Omary Mahita.

Kuanzia 2006 hadi mwaka 2013 Said Mwema alishika kijiti cha wadhifa huo, ambapo alipokezana na Ernest Mangu aliyeshika wadhifa huo kuanzia 2013 hadi 2016 ambapo aliingia kamanda Simon Sirro hadi 2022 ambapo Camilius Wambura ameteuliwa kushika wadhifa huo.
View attachment 2297502
Nawasilisha.
Katika ma-IGP wote mzee wa Ngunguli ndo alikula Bata kichizi kila weekend Moro town kwa Helicopter
 
Sasa hivi wako wapi hao jamaa? Ila hiki cheo mpaka sasa hakijaonyesha umaarufu.
 
Kwa rekodi za kipolisi IGP wa kwanza kurekodiwa ni Harun Mahundi ambayo alishika wadhifa huo miaka ya 1990s. Mwaka 1996 hadi mwaka 2006 wadhifa huo ulishikiriwa na Omary Mahita.

Kuanzia 2006 hadi mwaka 2013 Said Mwema alishika kijiti cha wadhifa huo, ambapo alipokezana na Ernest Mangu aliyeshika wadhifa huo kuanzia 2013 hadi 2016 ambapo aliingia kamanda Simon Sirro hadi 2022 ambapo Camilius Wambura ameteuliwa kushika wadhifa huo.
View attachment 2297502
Nawasilisha.
Awekwe na Magufuli he wish he could be IGP hahahahahahah
 
kama hujui sema uambiwe
nani aliekuambia hakuna record za Ma IGP
kuanzia UHURU
yaan uneona nchi yetu ni ya mazuzu sana haiifadhi KUMBUKUMBU au
 
Back
Top Bottom