Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina

Stone hayumo??
 
Kuna utofauti mkubwa sana ndo mana mtu akijitoa illuminates wanamuua inamana kwamba yey akishajiunga huko yeye makazi yake motoni tu hana option nyingine
 
Aiseeeh
mambo sio mabaya.

Long live jf.
 
Yaweza kua wapo ila siwajui ila ukikaa na watu wao wa karibu ndo utajua nn kilichopo!!!
Mnakuwaga hamna shughuli za kufanya hadi mnapata muda wa kujua fulani anaenda kwa mganga fulani haendi.
 
Kuna utofauti mkubwa sana ndo mana mtu akijitoa illuminates wanamuua inamana kwamba yey akishajiunga huko yeye makazi yake motoni tu hana option nyingine
Kakudanganya nani kuwa kazi za shetani huwa kuna hiyari ya kuingia na kutoka?

Ukimwona yeyote aliyetoka miongoni mwa hao mawakala wake ni neema tu ya Mungu na ni kwa maombi, kufunga na kusali mara kwa mara wala si uamuzi wa Mtu binafsi.

Ukishajiingiza ktk ushetani huwezi kujitoa utakavyo, ni sawa na kujikita ktk madawa ya kulevya.

Mungu atusaidie tushinde tamaa za kidunia ili tuje kurithi uzima wa milele.
 
Unaweza kuchamba ww asssshole?
 
Unajua unaandika kama kale kashoga kanajiitaga ka ray bayb....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uyu ni James delicious
 
Msaada: Kuna tofauti gani kati ya Kuchamba na Kutukana?
 
"midomo juu kama nyuchi za bundi"[emoji23]
Wanawake mna maneno
 
Ahahaha we usiniambie?
Hahaaa!mjini hapa...bibi huyo yuko bondeni huku kabla hujafika kwa mama Zakaria!

Hamisa alivyopigwa juju na mama ake diamond kipindi kile amtie uchizi alienda kuponea Tangaa kwa mzee mmoja hivi!
(Msiniulize nimejuaje)
 
illuminates ni wapinga kristo hawa hawawezi kusamehewa mazambi yao biblia inasema kwamba wameshapigwa chapa yao ya 666
wachawi,waganga,watenda zambi ni kundi moja wanayo nafasi ya kutubu au kuendelea kuongozwa na shetani njia ya motoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…